Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,434
- Thread starter
- #221
Umeona eeh??mchambuzi ana lake jambo hapa bila shaka..alafu hapo anataka watu waweze kutofautisha mijadala ya masuala ya msingi na ushabiki wa kisiasa,,,
Naomba usome majibu yangu kwa Mh. Mnyika, halafu turudi kwenye mjadala na kwa pamoja tubaini, siasa ipo wapi na mantiki ipo wapi.