Natubu dhambi

Natubu dhambi

Mama mtu anakuacha miaka 13, mwanae wa kiume 'mnafanana umri'..??
 
Kitu Ninacho Fikilia Akilini Mwangu Ni
Ulianzje Kumwambia Huyo Kijana Yaani Samahani Nime Mlala Mama Yako Au Ulianzaje Maana Kwenda Kumuomba Ndio Unamtukana Na Kujiaibisha Kabisaaaa,
 
Mama mtu anakuacha miaka 13, mwanae wa kiume 'mnafanana umri'..??

cha kwanza unaonekana una ugeni na tamaduni za waarabu,wao huolewa mapema zaidi kuliko sisi weusi cha pili umri wa mwanae na mimi hatujapishana sana, huyu mama aliolewa akiwa na miaka 12,akaacha shule akawa mfanya biashara,atleast umepata concept?
 
Jamani Mungu Anatumia Jinagani Humu Jf Maana Kunamtu Kaja Kutubu Humu Jf
 
Kitu Ninacho Fikilia Akilini Mwangu Ni
Ulianzje Kumwambia Huyo Kijana Yaani Samahani Nime Mlala Mama Yako Au Ulianzaje Maana Kwenda Kumuomba Ndio Unamtukana Na Kujiaibisha Kabisaaaa,

sasa hv ikitokea tumekutana ananiita "uncle" kwa unyonge, basi mi ndo nachoka kabisa
 
cha kwanza unaonekana una ugeni na tamaduni za waarabu,wao huolewa mapema zaidi kuliko sisi weusi cha pili umri wa mwanae na mimi hatujapishana sana, huyu mama aliolewa akiwa na miaka 12,akaacha shule akawa mfanya biashara,atleast umepata concept?
Hiyo mwambao style... Sasa Mkuu Falcon MBS ! vipi hamkufunga mlango ?!!!
 
Hiyo mwambao style... Sasa Mkuu Falcon MBS ! vipi hamkufunga mlango ?!!!

hatukufunga na funguo,yaani tulikuwa uchi wa wanyama na yule mama ndo alikuwa juu yangu tunafanya mapenz halafu ndio mshkaji kaingia ndani bila kugonga hodi
 
Back
Top Bottom