Natubu dhambi

Natubu dhambi

na ndo kinachokupa hiyo guilty

dogo kaingia kakuta unalikunja jicho

ACHA HIYO DHAMBI VINGINEVYO KILA SIKU UTAKUA UNATUBU

hapana sikumla jicho,wakina dada wabongo wanapenda sana kuliwa jicho
 
falcon mombasa

Acha uboya wewe,kama huyo mama hajaolewa unaanya nini? Au huyo chalii ake
 
Last edited by a moderator:
falcon mombasa

Hapa mkuu umeongeza dhambi nyingine kama tatu, moja umbea pili kumdharirisha yule mama na tatu kumdharirisha yule kijana, na mwisho wenda ata sala yako ya toba isipokelewe maana umeanza kutubu kwa wanadamu badala ya Mungu...!
 
Last edited by a moderator:
Hapa mkuu umeongeza dhambi nyingine kama tatu, moja umbea pili kumdharirisha yule mama na tatu kumdharirisha yule kijana, na mwisho wenda ata sala yako ya toba isipokelewe maana umeanza kutubu kwa wanadamu badala ya Mungu...!

mbona unanitisha mkuu,dhambi tatu kivipi? mi najua dhambi hapo ni moja tu
 
Kama mnavyojua kakaenu maisha yamenifikisha hapa kenya hivyo sina budi coz natafuta life,sasa kama mnavyojua ukiwa mgeni pahali utajulikana tu, basi nilipofika hapa mwanzo nilipata suport kubwa kutoka kwa wanawake sababu wengi wao wanapenda lafudhi ya kitanzania, hivyo nikajikuta napata misaada mingi kutoka kwa wanawake.

Sasa ikatokea nimeanzisha mahusiano na mama mmoja wa kiarabu kanizidi miaka 13 lakini ukimuona ni kama binti wa miaka 18, huyu mama anaishi na binti yake na house girl na mtoto wake wa kiume hakai hapo hivo alinambia nikakae kwake, basi ikatokea siku mmoja mchana kwa bahati mbaya tulipokuwa tunafanya mapenzi yule mama.

Mtoto wake wa kiume akafungua mlango wa chumba cha mamake bila tahadhari akatukuta tupo katikati ya mechi na mamake yupo juu yangu, tulishtuka sana tukajifunika shuka huku yule mama akimfokea kijana wake kwamba atoke nje, mbaya zaidi yule kijana umri tunafanana, kila nikikumbuka roho inauma sana, sasa hivi nimeachana na yule mama na nimehamia kwangu. Mungu anisamehe na kesho naenda Kanisani.

Mimi naona unajisifia tu kwa maana auwezi kutubu dhambi kwa kujitangaza
Bali unaweza kutubu dhambi kwa kukiri kosa kwa dhati toka ndani ya moyo wako uku ukimuomba na kumuaidi mungu wako kua hautorudia tena kutenda dhambi
Hivyo ndivyo toba inavyotakiwa kua
 
Mimi naona unajisifia tu kwa maana auwezi kutubu dhambi kwa kujitangaza
Bali unaweza kutubu dhambi kwa kukiri kosa kwa dhati toka ndani ya moyo wako uku ukimuomba na kumuaidi mungu wako kua hautorudia tena kutenda dhambi
Hivyo ndivyo toba inavyotakiwa kua

kudhini ni jambo la kujisifia mkuu? we unapenda kufanya uzinzi ?
 
Back
Top Bottom