The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Whatever makes u feel lighter kutubu and whatnot. Lakini why do u feel guilty?
Nahisi guilty iko kwenye details za sex yenyewe..umeambiwa Mombasa
connect the dots
Whatever makes u feel lighter kutubu and whatnot. Lakini why do u feel guilty?
Unahisi ukifanya nini ndio utapata peace of mind? Kwa Sababu haikua kosa lako, ni Ajali, je huyo mama unahisi Au bado unaendelea nae? Umeridhika na yeye au unafanya Kwa sababu Ya ugumu wa maisha?
najiona mkosaji kwakuwa sikufikiria kumuhoji yule dada (mmama) umri wa watoto wake wote
Nahisi guilty iko kwenye details za sex yenyewe..umeambiwa Mombasa
connect the dots
Nahisi guilty iko kwenye details za sex yenyewe..umeambiwa Mombasa
connect the dots
Haaaaaaaah haaaaaaah hiyo ni poa sana..! Soo kila ukipita road unaitwa Mtz.! Itabidi niwe nakuja huko nkipata likizo nije kula ngamia koz bata wachafu sana
karibu sana ndugu,uje nikupe binti mombasa
mmmmmh
we mwanamke mbona waguna tena
lol, , , , , , , , u r so funny
na hichi ndo kinachokuumiza
yaani katika hali ya kawaida hakuna jingine
na unatamani kuacha ndo maana unaumia
Kutubu kwa mwanadamu hairuhusiwi, anae samehe dhambi ni Mungu pekee kupitia Mwanae Yesu Kristo
"Nnnnninazako" kumradhi TyV !! wewe huna shukrani hata fadhila ..... yaani baada ya kushiba unainyea sahani?!! aisaeeeee....Haaaaaaaah haaaaaaah hiyo ni poa sana..! Soo kila ukipita road unaitwa Mtz.! Itabidi niwe nakuja huko nkipata likizo nije kula ngamia koz bata wachafu sana