Natoa mkopo kwa dhamana ya gari tu

Frank jb

JF-Expert Member
Jun 3, 2014
418
120
habari zenu wapendwa, natoa mkopo kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni moja kwa wenye magari tu! kwa atakaependa awasiliane nami kupitia 0716 002323. vigezo na masharti yangu kuzingatiwa!!!
 
habari zenu wapendwa, natoa mkopo kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni moja kwa wenye magari tu! kwa atakaependa awasiliane nami kupitia 0716 002323. vigezo na masharti yangu kuzingatiwa!!!

vigezo na masharti yako vikoje?
 
Hata gari mbovu naweza kuivuta hadi kwako nikaweka dhamana afu ukanipa million?
 
Hata gari mbovu naweza kuivuta hadi kwako nikaweka dhamana afu ukanipa million?
we google mbona unataka kuua bendi? gari iwe nzima ili hata ikitokea ukashindwa kulipa mkopo kwa wakati gar iwezwe kuuzwa ili kufidia mkopo uliouchukua
 
vigezo na masharti yako vikoje?
n kulipa mkopo kwa wakati na gar iwe nzima ili ikitokea umeshindwa kulipa gar itauzwa ili iwezwe kulipa mkopo uliouchukua, mashart mengine n ya kawaida na yapo kwenye mkataba tutakaosainiana na riba yangu n ya kawaida
 
Laki tano kwa gari.....???? Kua serious mkuuuu....!!!!!
bado matatizo hayajakupata na yakikupata utakubaliana na mimi, kuna mtu mmoja mwez july alinifuata alikuwa na shida ya laki tatu na aliweka dhamana ya gari na baada ya muda pesa aliirudsha kwa wakat na aliniambia alipatwa na tatizo kubwa akawa hana hata senti lakn gar ilimsaidia kupata mkopo. kwahivyo usishangae n vitu vya kawaida mkuu
 
n kulipa mkopo kwa wakati na gar iwe nzima ili ikitokea umeshindwa kulipa gar itauzwa ili iwezwe kulipa mkopo uliouchukua, mashart mengine n ya kawaida na yapo kwenye mkataba tutakaosainiana na riba yangu n ya kawaida
Yani uuze gari yangu ya 60m kwa kamkopo ka laki tano??? You can't be serious... Nakushauri hii biashara fanya na wanaomiliki bodaboda.
 
bado matatizo hayajakupata na yakikupata utakubaliana na mimi, kuna mtu mmoja mwez july alinifuata alikuwa na shida ya laki tatu na aliweka dhamana ya gari na baada ya muda pesa aliirudsha kwa wakat na aliniambia alipatwa na tatizo kubwa akawa hana hata senti lakn gar ilimsaidia kupata mkopo. kwahivyo usishangae n vitu vya kawaida mkuu
Wewe unamiliki magari mangapi?...... Na wewe ukipata tatizo unaweka rehani hela zako??
 
BOT wanaanza ku monitor hizi micro finance very soon na zote zitafungwa Kwa vile hazifwati taratibu Za kukopesha watu. Nyingi sio hii siifahamu ni Za kitapeli Kwa mfano easy finance. Unaweka Gari kama dhamana siku ya kulipia uchukuwe hapatikani hewani ukienda unakuta wameuza wanakwambia umechelewa.
 
BOT wanaanza ku monitor hizi micro finance very soon na zote zitafungwa Kwa vile hazifwati taratibu Za kukopesha watu. Nyingi sio hii siifahamu ni Za kitapeli Kwa mfano easy finance. Unaweka Gari kama dhamana siku ya kulipia uchukuwe hapatikani hewani ukienda unakuta wameuza wanakwambia umechelewa.
Duh!! Hatari sana sheikh!! Kwahiyo ukikopa unamuachia gari au kadi ya gari?

Wajinga ndio waliwao!!
 
Duh!! Hatari sana sheikh!! Kwahiyo ukikopa unamuachia gari au kadi ya gari?

Wajinga ndio waliwao!!

Wanachokifanya Hawa wahuni unapeleka gari na card original then una sign mkataba wa kuuza usipokuwa umelipa Kwa kipindi mlichokubaliana.... Huo ni utapeli. Ukiweka Gari Kama dhamana credit policy says that u should pledge the chattel mortgage Kwa kuacha card Yako original ya Gari na ukishindwa kulipa lazma upewe demand notice na ukishindwa kulipa kipindi cha siku 60 au 14 then wanauza tena Kwa notice nyingine.
 
bado matatizo hayajakupata na yakikupata utakubaliana na mimi, kuna mtu mmoja mwez july alinifuata alikuwa na shida ya laki tatu na aliweka dhamana ya gari na baada ya muda pesa aliirudsha kwa wakat na aliniambia alipatwa na tatizo kubwa akawa hana hata senti lakn gar ilimsaidia kupata mkopo. kwahivyo usishangae n vitu vya kawaida mkuu
mbona haviendani?
na DINI inakataza
mwenzio akipatwa na tatizo ndio ummpe laki 3 kwa gari ya 3M (Corolla inayotembea?)
lazima 60% watashindwa
na utayakusanya magari yao bila huruma
lakini mwisho wake yatakukuta km wenzio wa Jiji la ......
weka Masharti nafuu na sio gari tu
 
Wiki iliyopita nilisikia habari ya ajabu sana; kuna mtu mmoja naye anatoa mikopo kwa dhamana kama hizo ila ajabu ni kuwa ukishakopa na kumkabidhi dhamana ndio hutalipa tena, na hatimaye jamaa anachukua dhamana uliyoiweka.
 
Wiki iliyopita nilisikia habari ya ajabu sana; kuna mtu mmoja naye anatoa mikopo kwa dhamana kama hizo ila ajabu ni kuwa ukishakopa na kumkabidhi dhamana ndio hutalipa tena, na hatimaye jamaa anachukua dhamana uliyoiweka.

hahahaha me nilisikiaga kitambo yaani hao jamaa ukikopa kwao wanakua wanafanya mambo ya kishirikina, kama mlikubaliana baada ya mwezi utawalipa, unajikuta mwezi mzima sehemu kuu zote ulizotegemea hata kama ni uhakika wa kupata hela zinakataa, hata kama mshahara mlikua mnapewa tarehe 25 utashangaa wenzako wote wamewekewa kwenye akaunti zao lakini wewe unakuta bado unafatilia unaambiwa sijui kuna matatizo kwenye akaunti au tatizo la kibenki n.k yaani kila njia wanaifunga hadi wakishauza mali yako jnashangaa siku baada ya muda flani unakuta njia kibao zimefunguka
 
habari zenu wapendwa, natoa mkopo kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni moja kwa wenye magari tu! kwa atakaependa awasiliane nami kupitia 0716 002323. vigezo na masharti yangu kuzingatiwa!!!

Unataka kuiba gari za watu?
 
hahahaha me nilisikiaga kitambo yaani hao jamaa ukikopa kwao wanakua wanafanya mambo ya kishirikina, kama mlikubaliana baada ya mwezi utawalipa, unajikuta mwezi mzima sehemu kuu zote ulizotegemea hata kama ni uhakika wa kupata hela zinakataa, hata kama mshahara mlikua mnapewa tarehe 25 utashangaa wenzako wote wamewekewa kwenye akaunti zao lakini wewe unakuta bado unafatilia unaambiwa sijui kuna matatizo kwenye akaunti au tatizo la kibenki n.k yaani kila njia wanaifunga hadi wakishauza mali yako jnashangaa siku baada ya muda flani unakuta njia kibao zimefunguka

Kweli kabisa hawa jamaa ni wachawi wakubwa,watakukeshea kwa waganga mpak ukwame wauze mali zako,hawa akina Frank jb moto wa kuotea mbali,halafu yeye ni muuzaji cha juu anakula na deni unalipa,full NIGERIA
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom