Ok,habari zenu wapendwa, natoa mkopo kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni moja kwa wenye magari tu! kwa atakaependa awasiliane nami kupitia 0716 002323. vigezo na masharti yangu kuzingatiwa!!!
hapanaOk,
Nakupa gari ya 6Mill kwa mkopo wa 1mil.
Siku nikishindwa kulipa hiyo 1mill yako ukaiuza gari yangu kwa labda 5mil, chenji utanirudishia? ?
habari zenu wapendwa, natoa mkopo kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni moja kwa wenye magari tu! kwa atakaependa awasiliane nami kupitia 0716 002323. vigezo no masharti yangu kuzingatiwa!!![/QUOTE
Unapatikana wapi nataka laki tano
darhabari zenu wapendwa, natoa mkopo kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni moja kwa wenye magari tu! kwa atakaependa awasiliane nami kupitia 0716 002323. vigezo no masharti yangu kuzingatiwa!!![/QUOTE
Unapatikana wapi nataka laki tano
ushindwe na ulegee CHAKULACHAUSIKUFRANK JB,Kutana na Mungu aishie milele na akuepushe na Laana hiyo ya biashara unayofanya!!acha kabisa,
habari zenu wapendwa, natoa mkopo kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni moja kwa wenye magari tu! kwa atakaependa awasiliane nami kupitia 0716 002323. vigezo na masharti yangu kuzingatiwa!!!
habari zenu wapendwa, natoa mkopo kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni moja kwa wenye magari tu! kwa atakaependa awasiliane nami kupitia 0716 002323. vigezo na masharti yangu kuzingatiwa!!!
Laki tano kwa gari.....???? Kua serious mkuuuu....!!!!!
mkopo! mkopo! kwa wenye magari tu, nyote mnakaribishwa! wenye majungu endeleen na majungu yenu!
majungu tuHuu ni wizi wa wazi! Tafuta kazi halali ufanye.