Natoa mkopo kwa dhamana ya gari tu

Natoa mkopo kwa dhamana ya gari tu

Hizo hela mpaka mkazijambie ndo muwape watu!Wakishindwa mnauza dhamana zao,Mkatubu msije hukumiwa kwa kuwasababishia watu umaskini.
 
nimeiprnda hii huyu di dalali tapel.utakuta unaacha gar hafu yeye anapigia misele,si bora niuze mwenyewe gari angu.
 
nimeiprnda hii huyu di dalali tapel.utakuta unaacha gar hafu yeye anapigia misele,si bora niuze mwenyewe gari angu.

Kuuza gari kwa shida ya Tshs 500,000 au 1,000,000 ni mawazo mazuri kweli!!!

Muwe mnajaribu kufikiri vizuri.......kama ni utapeli pita kimya kimya huna kazi KANYE
 
mkuu mimi nna hummer nataka mkopo kwako wa laki tano nipe gharama ya riba?
 
n kulipa mkopo kwa wakati na gar iwe nzima ili ikitokea umeshindwa kulipa gar itauzwa ili iwezwe kulipa mkopo uliouchukua, mashart mengine n ya kawaida na yapo kwenye mkataba tutakaosainiana na riba yangu n ya kawaida
Gari na kadi naacha kwako?
 
Back
Top Bottom