Mtazamaji,tatizo JKT ikurdui inatakiwa irudi kwa Idea Ile ile lakini strategy mpya. Wakiendela na strategy zile zile za zami itakuwa ni mzigo tu kwa taifa na utaishia kutengeneza wanajeshi wasio na kazi mtaani.
Ndo hapo sasa tutakuwa tunakaribisha mapinduzi ya kiukweli ukweli. teh teh teh.
Zaidi ya ukakamavu na uzalendo JK ya Kizazi hiki inatakiwa kuongeza mambo ya ufanisi , Tija na Uzalishaji na speciliasation
Mambo yale yale aliyoacha Nyerere na kina kawawa yalihitaji creative na innovative mindi ili yawe endelevu. Saaabu wengi wana mawazo magando waliona yamepitwa na wakati. ....
- JKT na hata JWTZ wanatakiwa kuwa na mshamba makubwa ya mifano wilayani na mikoni JKT inataiwa kuwa na vituo vya kuwafunza watu ufugaji nyuki, kupanda miti nk
- JKT inatakiwa kuanzisha vituo na ufundisha na kuendeleza vipaji vya michezo kama kuogelea,( Dar auMwanza) kukimbia,( Arusha) Kuendesha baiskeli( Mwanza), etc. Tena kwa hivi vipaji hakunahajaya kusbiri mtu kakomaa mifupa. Kila mwezi wa sita wakati shule za primary na sekondari zimefungwa wanweza kuwafundisha watto kuogelea etc
Nawasilisha
Mtazamaji,
Ungeongezea vile vile wawe na kitengo cha kufundisha skills, hasa kazi za mikono kama vile uselemara, kilimo cha kisasa, ili vijana waweze kujiajiri au kuanzisha miradi yao wanapomaliza muda jeshini.
Gazeti la leo,14 july 2009,linaripoti kwamba,Wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri,vijiji na Jiji la Tanga wanataka JKT irejeshwe kama ilivyokuwa zamani,yaani,nguvu kazi,Serikali iwakamate vijana Mijini,kushoto na kulia na kuwapeleka JKT,ili wakafanye kazi za ujenzi wa Taifa. Na hili ni jambo ambalo walikuwa wanalijadili na TAYODEA,Taasisi ya vijana Tanga,kwamba vijana wachukuliwe kutoka vijiweni wapelekwe JKT.
Wanasema wanataka Wabunge waishauri Serikali. Mimi nadhani ni jambo ambalo linaweza kufikiriwa,kuwa na militia,kuwapeleka vijana JKT, kwa sababu Mgambo na JKT walisaidia sana katika vita dhidi ya Iddi Amin. Na pia Waamerika wanawaruhusu wananchi wao kuwa na silaha kama jambo ambalo linaweza kuifanya nchi yao iwe salama kutokana na mashambulizi kutoka nje.
Kwa ajili ya Usalama wa nchi yetu,hili ni jambo ambalo tunapaswa kulifikiria. Siyo kuwaweka gerezani wazururaji ,jambo ambalo lilifanywa miaka kadhaa iliyopita na kuwafanya NCCR Mageuzi,akina Mabere Marando kulalamika sana,lakini kujaribu kuliondoa tatizo la ajira.
Gazeti la leo,14 july 2009,linaripoti kwamba,Wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri,vijiji na Jiji la Tanga wanataka JKT irejeshwe kama ilivyokuwa zamani,yaani,nguvu kazi,Serikali iwakamate vijana Mijini,kushoto na kulia na kuwapeleka JKT,ili wakafanye kazi za ujenzi wa Taifa. Na hili ni jambo ambalo walikuwa wanalijadili na TAYODEA,Taasisi ya vijana Tanga,kwamba vijana wachukuliwe kutoka vijiweni wapelekwe JKT.
Wanasema wanataka Wabunge waishauri Serikali. Mimi nadhani ni jambo ambalo linaweza kufikiriwa,kuwa na militia,kuwapeleka vijana JKT, kwa sababu Mgambo na JKT walisaidia sana katika vita dhidi ya Iddi Amin. Na pia Waamerika wanawaruhusu wananchi wao kuwa na silaha kama jambo ambalo linaweza kuifanya nchi yao iwe salama kutokana na mashambulizi kutoka nje.
Kwa ajili ya Usalama wa nchi yetu,hili ni jambo ambalo tunapaswa kulifikiria. Siyo kuwaweka gerezani wazururaji ,jambo ambalo lilifanywa miaka kadhaa iliyopita na kuwafanya NCCR Mageuzi,akina Mabere Marando kulalamika sana,lakini kujaribu kuliondoa tatizo la ajira.
Kina Dick Cheney wako wengi...kituko kingine ni kwamba Hussein Mwinyi alikimbia JKT wakati wake lilipokuwa kwa mujibu wa sheria.
..leo ana ujasiri wa kurudisha JKT ili watoto wa wenzake wakasote huko.
..binafsi nimekwenda JKT lakini napinga huu mpango wa kulianzisha upya jeshi hilo.
..kama tumeshindwa kuwafundisha vijana wetu kuipenda nchi yao kwa miaka 14 wanapokuwa mashuleni, tusitegemee tutafanikiwa kwa mwaka 1 au miezi 6 ya JKT.