nateseka kiukweli..

nateseka kiukweli..

Speculation speculation speculation.... FP I am not good in that area. Mzima weye!?

Usiwe na shaka mkuu,

Ilikuwa ni mazungumzo baada ya habari. Unakikumbuka hiki kipindi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
ndo nakubust hivi

hujagundua tu?

JF ni zaidi ya burudani,

Mie pia nilikuwa mpweke jana....


Hivi na wale waotafuna pensheni zao wana nafasi tena??

Ngoja nisubiri, naweza kupata mtu wa kuniboost kama betri ya gari automatic....lol!!

Babu DC!!
 
ni mwanamke umri 27 'nimegundua nina upungufu kwa kutokuwa na mpenzi kwa muda sasa kwani jana mean valentine pamoja ya kwamba nilikuwa na sis yangu na mdogo wangu lakini kuna mda kama saa 8 ivi nilijihs upweke saaana nikagundua mapenzi yanaumuhimu katika maisha yetu binaadam tatizo sijapata mwanaume ninayemhitaji yan naongea kwa kumaanisha i need true love seliosry...! plz mnipm bt niwale wenye akili timam tu mana wengine wanadhani ni utani nataka wanaume wanaojitambua tu!.... plz

mi nimeona hapo kwenye '''seliosry''
 
ni mwanamke umri 27 'nimegundua nina upungufu kwa kutokuwa na mpenzi kwa muda sasa kwani jana mean valentine pamoja ya kwamba nilikuwa na sis yangu na mdogo wangu lakini kuna mda kama saa 8 ivi nilijihs upweke saaana nikagundua mapenzi yanaumuhimu katika maisha yetu binaadam tatizo sijapata mwanaume ninayemhitaji yan naongea kwa kumaanisha i need true love seliosry...! plz mnipm bt niwale wenye akili timam tu mana wengine wanadhani ni utani nataka wanaume wanaojitambua tu!.... plz

Inaonesha umekuwa too selective mno. Subiri uzeekee nyumban ndo ujue raha ya kuringa
 
ni mwanamke umri 27 'nimegundua nina upungufu kwa kutokuwa na mpenzi kwa muda sasa kwani jana mean valentine pamoja ya kwamba nilikuwa na sis yangu na mdogo wangu lakini kuna mda kama saa 8 ivi nilijihs upweke saaana nikagundua mapenzi yanaumuhimu katika maisha yetu binaadam tatizo sijapata mwanaume ninayemhitaji yan naongea kwa kumaanisha i need true love seliosry...! plz mnipm bt niwale wenye akili timam tu mana wengine wanadhani ni utani nataka wanaume wanaojitambua tu!.... plz

Pquite njia rahisi ya kuwanasa ni kuweka picha yako khalisi kwenye avatar yako na kuwasiliana na Invisible awatoe mashaka ya kuwa hiyo ndiyo wewe bila zengwe........................khalafu utaona wanavyojigonga kwako..........nawe waambie wakutumie picha zao ili usiuziwe buzi kwenye gunia kuukuu
 
Last edited by a moderator:
Inaonesha umekuwa too selective mno. Subiri uzeekee nyumban ndo ujue raha ya kuringa

Hivi unataka aolewe 2 na mtu hata asiyempenda kisa ataambiwa yupo selective?jamania hata ss wadada tuna haki ya kuangalia/kuchagua m2 unaeona anakufaa!
 
ni mwanamke umri 27 'nimegundua nina upungufu kwa kutokuwa na mpenzi kwa muda sasa kwani jana mean valentine pamoja ya kwamba nilikuwa na sis yangu na mdogo wangu lakini kuna mda kama saa 8 ivi nilijihs upweke saaana nikagundua mapenzi yanaumuhimu katika maisha yetu binaadam tatizo sijapata mwanaume ninayemhitaji yan naongea kwa kumaanisha i need true love seliosry...! plz mnipm bt niwale wenye akili timam tu mana wengine wanadhani ni utani nataka wanaume wanaojitambua tu!.... plz

nitafute tuweze kujuana
 
duh! unatafuta mwanaume au wanaume?

Hapo kweli lazima awe specific zaidi, japo amesema wenye akiri timamu tu xaxa xijui atafanya shortlisting kupata mmoja ama atachukua wote wenye akili timamu maana inaonekana ndio kigezo pekee na mhimu.
Kila la kheri mdada katika jukumu lako hilo.
 
mi nimeona hapo kwenye '''seliosry''

Spelling error is not a big deal, Its all about marriage. There is no language which is recognised when these two organs meet such like swahili , english or any. Being in JF is a very developed and sustainable progress!!!Big up Pquite for "breaking the ice".
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom