nateseka kiukweli..

nateseka kiukweli..

pquite kama uko crius kutaka mme ni bora usijibizane na wa2 humu ili kuonyesha busara yako, otherwise unatania....wish u ol da best

Gud advice ...

Nawaza sasa ukitangaza namna hii hizo pm zitakavyomiminika inabidi uandae siku ya interview e e e??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yaan ukitaka kuona ni namna gani Simba huwa anawinda Swala, basi pitia kwenye threads kama hizi...
 
pole.dada yangu.kwanza kabisa napenda ujue kusudi la mungu juu ya maisha yako.usipojua utapotea kabisa.mume mwema utoka kwa.mungu.usipojua jambo hili na kumwomba mungu sana juu ya mume wako.ukatumia akili zako utapata masharo baro watakao kuchezea na sio kukuoa.ushauri wangu piga goti kwa mungu akupe mume bora.
 
pole.dada yangu.kwanza kabisa napenda ujue kusudi la mungu juu ya maisha yako.usipojua utapotea kabisa.mume mwema utoka kwa.mungu.usipojua jambo hili na kumwomba mungu sana juu ya mume wako.ukatumia akili zako utapata masharo baro watakao kuchezea na sio kukuoa.ushauri wangu piga goti kwa mungu akupe mume bora.

thanx a lot mine!
 
ni mwanamke umri 27 'nimegundua nina upungufu kwa kutokuwa na mpenzi kwa muda sasa kwani jana mean valentine pamoja ya kwamba nilikuwa na sis yangu na mdogo wangu lakini kuna mda kama saa 8 ivi nilijihs upweke saaana nikagundua mapenzi yanaumuhimu katika maisha yetu binaadam tatizo sijapata mwanaume ninayemhitaji yan naongea kwa kumaanisha i need true love seliosry...! plz mnipm bt niwale wenye akili timam tu mana wengine wanadhani ni utani nataka wanaume wanaojitambua tu!.... plz

tatizo wengi wenye sifa hizo tayari wameshaoa........kwakuwa kwao majukumu ni part of their genes:becky:
 
Naona mie nimepigwa chini,

Haya bwana, kwa herini...

Mkatafutane wenyewe kwa wenyewe..lol!!
 
Naona mie nimepigwa chini,

Haya bwana, kwa herini...

Mkatafutane wenyewe kwa wenyewe..lol!!

Hahahaha - umekubali yaishe. Hahaha

Lakini usingesema kwaherini - ungetumia ule usemi wa kikwete unaosema NAWATAKIA KILA LA HERI. LOL!
 
Wakati mwengine tujiulizeni Adam na Eve walipendana kwa mda gani? Kama unajihisi unataka mpenzi si eti unatoa sababu falani ndio watu wakusikitikie au wakufwate. Ww toka nje umpatae ndie; sio kutafuta mpenzi katika mtandao. Ushauri wangu uuwache hapa hapa siwakufatwa!
 
Samahani kidogo mtoa mada mwanaume anayejitambua anakuwaje ?
anakua na sifa gani maana wewe kama ni mwanamke unayejitambua
huna mtu wa kuuenzi huo uanamke wako mpaka hapo ina maana hujitambui
au unatania tu na ww na je inamaana ww bado iko sealed kwani unaonekana
kuna mazoea ya kitu fulani yanakupa shida.
 
Hahahahaha lol! haya Babu!!! Bibi akisoma hii utanuniwa ile mbaya halafu atasusa kukupikia mahanjumati.

JF ni zaidi ya burudani,

Mie pia nilikuwa mpweke jana....


Hivi na wale waotafuna pensheni zao wana nafasi tena??

Ngoja nisubiri, naweza kupata mtu wa kuniboost kama betri ya gari automatic....
lol!!

Babu DC!!
 
Hawezi kukuona bwana,

Sie wa 1947 tulifundishwa kuwa bibi lazima awe na msaidizi.
hapa lazima kuna mtu kakujibia, lol!
eti BAK unaamini haya ni maneno ya babu DC huyu huyu tunayemfahamu?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom