nateseka kiukweli..

nateseka kiukweli..

this is very very interesting! nuwa nahisi ni utani lakini kumbe kuna kaukweli! haya wakaka/wababa kazi kwenu! ol the best mdada!
 
ni mwanamke umri 27 'nimegundua nina upungufu kwa kutokuwa na mpenzi kwa muda sasa kwani jana mean valentine pamoja ya kwamba nilikuwa na sis yangu na mdogo wangu lakini kuna mda kama saa 8 ivi nilijihs upweke saaana nikagundua mapenzi yanaumuhimu katika maisha yetu binaadam tatizo sijapata mwanaume ninayemhitaji yan naongea kwa kumaanisha i need true love seliosry...! plz mnipm bt niwale wenye akili timam tu mana wengine wanadhani ni utani nataka wanaume wanaojitambua tu!.... plz
nipe cv yako. fsble2000@gmail.com
 
Wewe leta majungu yako wenzio wanamalizia wikiendi
Yaan ukitaka kuona ni namna gani Simba huwa anawinda Swala, basi pitia kwenye threads kama hizi...
 
ni mwanamke umri 27 'nimegundua nina upungufu kwa kutokuwa na mpenzi kwa muda sasa kwani jana mean valentine pamoja ya kwamba nilikuwa na sis yangu na mdogo wangu lakini kuna mda kama saa 8 ivi nilijihs upweke saaana nikagundua mapenzi yanaumuhimu katika maisha yetu binaadam tatizo sijapata mwanaume ninayemhitaji yan naongea kwa kumaanisha i need true love seliosry...! plz mnipm bt niwale wenye akili timam tu mana wengine wanadhani ni utani nataka wanaume wanaojitambua tu!.... plz

Weka picha kwanza tuthaminishe mzigo
Maana usije ukawa na sura ya baba

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nipm mimi nikupe true love mdada, mi pia jana nilikuwa peke yangu. Inaniuma sana kuona wenzangu wamepiga red mi nimevalia jezi ya yanga

hahahhahaha!nimecheka sana coz wewe na mimi siku hiyo tulivaa sale sale....hahahahahaha nimecheka sana....yanga kiboko bana....ila simba siku hiyo ilitwala viwanja vyote!
 
We mgeni humu ...humjui mzee wa kugegeda? Kama unataka kujaribu m-hook up na dada yako lol!

Ni mwenyeji kiasi,ila nimejiuliza tu kwa kuwa katika keyboard kila mtu anaweza kuandika vyovyote kujisifia, na kwa kuwa wewe umeonesha uhakika sana juu ya ufanisi wake katika kuwagegeda; Je, wewe pia ni muathirika wa mgegedo toka kwa mkuu mzabzab!?!
 
Whaaat?????

Ngoja nirudi kwa Sangoma, mbona lile limbwata alinihakikishia ndio lenyewe?

Halafu nina hamu ya limbwata kweli....

Please, fanya haraka ili nifurahie utamu wa limbwata, hata kama ni nyama ya kuficha ikulu..lol!!

Beware....fermentation in that hot funnel may cause serious infections by incurable bugs!!

Babu DC!!
 
:cheer2:Hapo blue tu, ngoja nifanye haraka:cheer2:
Marazi mengine nitatibu

Halafu nina hamu ya limbwata kweli....

Please, fanya haraka ili nifurahie utamu wa limbwata, hata kama ni nyama ya kuficha ikulu..lol!!

Beware....fermentation in that hot funnel may cause serious infections by incurable bugs!!

Babu DC!!
 
Spelling error is not a big deal, Its all about marriage. There is no language which is recognised when these two organs meet such like swahili , english or any. Being in JF is a very developed and sustainable progress!!!Big up Pquite for "breaking the ice".

thanx myn!
 
Last edited by a moderator:
ahsanten kwa wote mlioniponda nakunikubali kwa ushauli wenu love u all!.....
 
this is very very interesting! nuwa nahisi ni utani lakini kumbe kuna kaukweli! haya wakaka/wababa kazi kwenu! ol the best mdada!


@cacico mabo ni gani? I missed you since then!!!!!!!!!
 
ni mwanamke umri 27 'nimegundua nina upungufu kwa kutokuwa na mpenzi kwa muda sasa kwani jana mean valentine pamoja ya kwamba nilikuwa na sis yangu na mdogo wangu lakini kuna mda kama saa 8 ivi nilijihs upweke saaana nikagundua mapenzi yanaumuhimu katika maisha yetu binaadam tatizo sijapata mwanaume ninayemhitaji yan naongea kwa kumaanisha i need true love seliosry...! plz mnipm bt niwale wenye akili timam tu mana wengine wanadhani ni utani nataka wanaume wanaojitambua tu!.... plz

Tukutane basi kulee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom