HahahaaaaJamani TaiJike ni shemeji/wifi yenu.
Naomba wale wenye nia chondechonde jamani.Msije mkanipeperushia tai wangu,nimetoa jasho kumpata.
Hahahaaaa
Excellent hongera sana naona vijana mnajitoa kwenye kundi la ubachela....
Toa wito na kwa wale ambao bado wanadunda na ubachelor
Jamani TaiJike ni shemeji/wifi yenu.
Naomba wale wenye nia chondechonde jamani.Msije mkanipeperushia tai wangu,nimetoa jasho kumpata.
teh teh teh nitakutafuta kwa seckta ya burudani
shukrani sana...bado tupo tupo kwanza mambo yakianza nitakutafuta nasikia we mtaalam wa hiyo sector
..ukiona majii yamezidiii ungaaaa,ungaa umizidiii maji basi ina bidi utulieee..bachelor siatki kuwa tena bachelor japo maisha ya kiselaa sometime yana nipaaa RAHAAAA.....Mkuu huu ubachelor kazi sana we hujui tu,unakuwa mpweke halafu kuna vitu vya msingi unakuwa unavimiss
Hongereni sana...
Hivi Excellent una allergy na kina dada wembamba.. (Nauliza tu..wala usihusianishe na mchumba wako mpendwa Taijike)
Jamani TaiJike ni shemeji/wifi yenu.
Naomba wale wenye nia chondechonde jamani.Msije mkanipeperushia tai wangu,nimetoa jasho kumpata.
Sijakuelewa