Wakuu mawazo na msaada wenu kuhusu Chango!

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
2,157
10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Wakuu naomba kama kuna mtu anauelewa kuhusu kitu kinaitwa Chango/Mchango kinachowapata watoto wadogo anieleweshe maana nimebaki njia panda!

Shemeji/wifi yenu kanizalia kakijana ka kiume sasa tatizo kanasumbuliwa na hiyo kitu. Hospitali tushanunua dawa za kutosha lakini ni kama hazisaidii, nikashauriwa na watu kadhaa ya kwamba hiyo chango haitibiki hospitali,Je dawa yake ni ipi hasa?

Hivi hii kitu huwa ni kwa watoto wa Kiafrika tu au hata huko kwa watasha nako hali huwa ni kama hii?

Je, wenzetu watoto wao huwa wanawatibuje kama pia huwa wanapatwa na hali kama hii?

Majibu na miongozo yenu ni muhimu sana wakuu ili nimnusuru mwanangu!
 
Tafuta dawa inaitwa INFACOL SYRUP itamsaidia ingawa bei yake imechangamka.

IMG-20220706-WA0009.jpeg
 
Mkuu bei yake inazidi Tsh 50,000/=?
Mkuu hata ikizidi hiyo mtoto si wa kwako mtibu mazee hatuna namna ila ni vizuri ukampeleka kwa Dr wa watoto akamuangalia akaandika dawa ya kumpa mtoto kutokana na alivyomwona mnaweza mkawa mmekaa hapo mnasema sijui chango hii kumbe mnatibu tofauti na anachotakiwa kutibiwa kwa watoto kufanya hivi ni mbaya sana.
 
Mkuu hata ikizidi hiyo mtoto si wa kwako mtibu mazee hatuna namna...ila ni vizuri ukampeleka kwa Dr wa watoto akamuangalia akaandika dawa ya kumpa mtoto kutokana na alivyomwona mnaweza mkawa mmekaa hapo mnasema sijui chango hii kumbe mnatibu tofauti na anachotakiwa kutibiwa kwa watoto kufanya hivi ni mbaya sana...
Hakika mkuu lazima mtoto atibiwe!

Yes, usemacho ni kweli,Mtoto ana miezi 3 tu mkuu na hapo awali tulimpeleka Hospitali kwa dokta wa watoto akasema huwa ni hali ya kawaida ya watoto na akatuandikia dawa ambayo huwa ni mafuta ya samaki na tulimpa lakini sometimes ukimuangalia unaona anjikwinya kwinya, ndipo nikaelezwa hilo ni chango na dawa za hospitali huwa hazisaidii sana saba ninaweza kumpoteza mwanangu!
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Wakuu naomba kama kuna mtu anauelewa kuhusu kitu kinaitwa Chango/Mchango kinachowapata watoto wadogo anieleweshe maana nimebaki njia panda!

Shemeji/wifi yenu kanizalia kakijana ka kiume sasa tatizo kanasumbuliwa na hiyo kitu!.Hospitali tushanunua dawa za kutosha lakini ni kama hazisaidii,nikashauriwa na watu kadhaa ya kwamba hiyo chango haitibiki hospitali,Je dawa yake ni ipi hasa?

Hivi hii kitu huwa ni kwa watoto wa Kiafrica tu au hata huko kwa watasha nako hali huwa ni kama hii?

Je,wenzetu watoto wao huwa wanawatibuje kama pia huwa wanapatwa na hali kama hii?

Majibu na miongozo yenu ni muhimu sana wakuu ili nimnusuru mwanangu!
Mama ake anavyomnyonyesha ahakikishe asiache nafasi hewa Ikawa inaingia tumboni kwa mtoto pia akimaliza kumnyonyesha ajaribu kumuegemeza began ili abeue kutoa gesi iliyotokana wakati ananyonya wamama huwa wanafundishwa wakiwa Clinic za wajawazito (ANC) mkumbushe maelekezo aliyokua anapewa atakumbuka afanye alivyokua anaelekezwa itamsaidia mtoto.
 
Tafuta mzizi wa tula tula wenyewe chemsha na mpe tone kutwa mara tatu. Na ikitokea kaamka usiku muda wowote mpatie!
 
Mama ake anavyomnyonyesha ahakikishe asiache nafasi hewa Ikawa inaingia tumboni kwa mtoto pia akimaliza kumnyonyesha ajaribu kumuegemeza began ili abeue kutoa gesi iliyotokana wakati ananyonya wamama huwa wanafundishwa wakiwa Clinic za wajawazito (ANC) mkumbushe maelekezo aliyokua anapewa atakumbuka afanye alivyokua anaelekezwa itamsaidia mtoto.

Nashukuru sana mkuu kwa kunikumbushia hili jambo,nami nalifikisha kama lilivyo.

Ubarikiwe sana!
 
Tafuta mzizi wa tula tula wenyewe chemsha na mpe tone kutwa mara tatu. Na ikitokea kaamka usiku muda wowote mpatie!

Nashukuru sana my sister leo dada

Hivi hiyo mitula tula ndiyo inatwaga Ndulele?,Kwetu huko Mara huwa tunayaita Matobhoro!,Bila shaka ndiyo hayo leo dada
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Wakuu naomba kama kuna mtu anauelewa kuhusu kitu kinaitwa Chango/Mchango kinachowapata watoto wadogo anieleweshe maana nimebaki njia panda!

Shemeji/wifi yenu kanizalia kakijana ka kiume sasa tatizo kanasumbuliwa na hiyo kitu. Hospitali tushanunua dawa za kutosha lakini ni kama hazisaidii, nikashauriwa na watu kadhaa ya kwamba hiyo chango haitibiki hospitali,Je dawa yake ni ipi hasa?

Hivi hii kitu huwa ni kwa watoto wa Kiafrika tu au hata huko kwa watasha nako hali huwa ni kama hii?

Je, wenzetu watoto wao huwa wanawatibuje kama pia huwa wanapatwa na hali kama hii?

Majibu na miongozo yenu ni muhimu sana wakuu ili nimnusuru mwanangu!
Magonjwa ya kiswahili hayo... ukiona ugonjwa haupo kwenye medical dictionary jua haupo duniani. Mpeleke mtoto kwa specialist wa watoto au kwenu kwa ajili ya mila😂😂😂
 
Hiyo ni kawaida Kwa watoto wa kiume. Itaacha tu yenyewe. Sababu ni pumbu zinakuwa zimeingia ndani
UMUGHAKA zingatia maelezo ya huyu mwamba, kaeleza kama maskhara lkn ndio ukweli, mwamba aliyezaliwa ajikaze uanaume ni Vita, hapo mizigo inafanya yake atazoea tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom