nyani ngabu umenizidi ujanja! Mi nitakua kamati ya mapokezi huko naweza mpata mpenz mwingine, nadhan cheusi mangala ananisoma vyema!
umecopy ametuma eiyer uzi kama huu mod ondoa hii,inaondoa heshima kwa threads za watu.acha kucopy make ur own topic
Gbolin............
Kama wewe ni she, natangaza ndoa na wewe. Babu atakufaa sana.
Kama wewe hi he, hebu fanya hisani uniteulie binti mrembo wa kuoa.
Mkuu mimi Me,nimpendae ni faizafoxy manake ana jicho la wizi huyu binti ila tatizo ustadhi mohames shossi kaniwahi,nimekumbuka mkuu, natangaza ndoa kwa husninyo.
Mkuu heshima mbele.
Nawe hujui kutofautisha?? Jamaa kumbuka alisema kuwa itapendeza ndoa za JF zikiwa hivi, huu uzi nimeupata toka kwa watawala wa JF,hizi ni ndoa za ukweli kabisa na sio danganya toto,acha kulalamika,kama huna mchumba m-pm invisble akutafutie au mwambie akutafutie kamati akuweke. Unapoteza muda kuweka argument za ajabu ajabu hapa wakati wenzako wanaota vitambi.
Kati ya Uporoto na Cheusi Mangala, Max Melo na Miss Judith, Mama Groly na Dr Phone, Afrodenzi na Nyani Ngabu, Buji Buji na Blackberry.
Kwa maelezo zaidi M-Pm Rev Masa ambaye atabariki ndoa hizo pia Natangaza ndoa kati ya Faiza Foxy na Mohamed Shossi, kwa maelezo zaidi M-Pm Sheikh Malaria Sugu (MS) ambaye atasimamia ndoa hiyo.
Ndoa zote zitafungwa hivi karibuni, nafasi za wanakamati ziko wazi na wana MMU mnaruhusiwa kugombea.
Long live JF married.
Yoyo kitu cha Venezuela hicho au wapi??unajua unachokiongea?
brasili arifu......hao ukiwa nao dont remove josto from inside..u climb her 6 shots arifu..Yoyo kitu cha Venezuela hicho au wapi??
Ahaaa ahaaa jombaa mbona World Cup 2014 itakuwa balaabrasili arifu......hao ukiwa nao dont remove josto from inside..u climb her 6 shots arifu..
kama kapata kitu kama hicho aoeee......
arifu ni baraa......Ahaaa ahaaa jombaa mbona World Cup 2014 itakuwa balaa
Aisee umenikumbusha kuna mbarasili mmoja yuko ubalozi wa Brasil hapa Tanzania si mchezoarifu ni baraa......wabrasili muda woote wanavaa mavazi ya ufukweni...