semango
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 532
- 45
hivi nyie wakaka nimewakosea nini???
mbona kila siku siku nasoma sredi za wenzangu kulaviwa na sio mimi???
yaan hata REJAO hanitaki...........duh
tunaogopa kufunguka ila wengi tu tunakufagilia
hivi nyie wakaka nimewakosea nini???
mbona kila siku siku nasoma sredi za wenzangu kulaviwa na sio mimi???
yaan hata REJAO hanitaki...........duh
Usijali umefika.hivi nyie wakaka nimewakosea nini???
mbona kila siku siku nasoma sredi za wenzangu kulaviwa na sio mimi???
yaan hata REJAO hanitaki...........duh
Afrodenzi shem wangu....Basi km ni hivyo ngoja tumuite afrodenzi ale na Rejao uone km hujapata presure
Jamani nimekuwamo humu toka siku nyingi ila nimejiunga hivi karibuni. Huyu dada smile nimempenda saana jinsi anavyochangia mada na jinsi anavyotoa mada mpya. Kwanza, anachangia mada kwa heshima na akitoa mada atajitahidi sana kumjibu kila mtu tofauti na watoa mada ambao akishatoa mada yeye anaishia hachangii tena. Kumbuka kisa kilichompata cha kutonyoa mavuzi na ile ya kupimwa mimba na headteacher. Smile i love you !, you are brilliant gal !
Jamani nampenda Marytina hata raha nakosa...tukutane pale ma..ko bar tule kuku na maongezi ya kina...hivi nyie wakaka nimewakosea nini???
mbona kila siku siku nasoma sredi za wenzangu kulaviwa na sio mimi???
yaan hata REJAO hanitaki...........duh
Kwani SMILE ni HE?
sana hebu cheki rejaoYan unamaanisha sisi wanajamii wachawi?
sana hebu cheki rejao
acha wivu mkuupm imefungwa?
achana nae huyo sasa ?Angalia mapenzi niliyoyaongelea hapo juu mkuu.
ndege wangu manati ya nini??Rejao alikuwa busy alipoona umependwa eti nae kakupenda ghafla....teh
Mwenyewe kasema tufunge thread hii, kumbe Rijao smile mambo yako eee? basi namhurumia maana kwa akili yako na yake vitu viwili tofauti. lakini nitam PM akusaidie kukubadilisha mtazamo.
Ngoja mi nitangaze km kuna ambaye hajapendwa km mimi basi tupendane...ndege wangu manati ya nini??
Nimekuja tu kuclarify...soon nalog off!
Angalia mapenzi niliyoyaongelea hapo juu mkuu.
acha wivu mkuu