Natangaza kugombea Urais

Natangaza kugombea Urais

Umesahau jingine ungejidai kujenga nchi kwa kukopa na uiache nchi na mzigo mkubwa wa madeni
 
Mkuu, mbona urais unauweza ... kama kipimo ni 'Mr.Dhaifu' then wote tunauweza urais tatizo nafas yenyewe ipo moja! Labda nikukumbeshe, hakikisha jeshi la pols na T.BC vnatumika kwa maslah ya MaCCM, minya uhuru wa vyombo vya habari na chochea matumiz ya 'vitu' vyenye ncha kal dhidi ya raia!Mwisho endelea kuwakazia wazee wa EAC huku ukiakikisha viwanja vyote vya gezaulole mmejazana wewe, ndugu, jamaa na mashost zako .... Aaah, hapo mbona ukimaliza kpnd chako lazima tukukumbuke kama 'bwana maendeleo'!
 
Tafuta aliyekuibia hawara wako na wewe umfunge kama alivyo fungwa babu seyaaaaa!!!!!!!kwa wivu wapenzi........................na utafute waziri mkuu mwenye sura ngumu lakini anadekadeka (kulialia ovyo)......nadhani naweza kuwa waziri mkuu wako
 
Hili la kukopa ndio kabisa Sina shida nalo .. Nina udhoefu wa miaka Mingi Kwani mshahara wangu hautoshi hivyo nina experience ya kutosha kwenye kukopa ... Sema Sasa nitakapoingia Ikulu Nitakopa zaidi Kwani watakao Kuja kulipa ni wengine... Kwa Hilo Toa Shaka Nitakopa mpaka kila mtanzania atakupa anadaiwa Millioni moja ... Kwani Si bado tunakopesheka?...



Umesahau jingine ungejidai kujenga nchi kwa kukopa na uiache nchi na mzigo mkubwa wa madeni
 
Hilo la wivu wa Mapenzi sitakuwa na utani kwa atakayeniibia viburudisho vyangu...Mimi nitafunga ukoo Mzima tena Hukumu :yo:ya kunyongwa....

Kuhusu uwaziri Mkuu Ni PM tuongee


Tafuta aliyekuibia hawara wako na wewe umfunge kama alivyo fungwa babu seyaaaaa!!!!!!!kwa wivu wapenzi........................na utafute waziri mkuu mwenye sura ngumu lakini anadekadeka (kulialia ovyo)......nadhani naweza kuwa waziri mkuu wako
 
Umesahau mahawara, kusamehe mafisadi, kuwajua wauza madawa na kukaa kimya
 
kwa hiyo ni vema raisi wetu aache kuvaa jumba halafu avae chou en lai, halafu nywere zake azipige bushback ndipo akatembelee ulaya? nani atamthamini dunia hii ya leo! wewe uvae minguo ya kichina ya mwaka 1967, halafu ukatembelee UK na USA? msadda utakaofanikiwa kupata kama unaomba ni mafuta ya break tuu na sio kingine!!! kweli ujamaa na kujitegemea umeharibu sana jamii ya kitanzania kuliko hata kutawaliwa na mkoloni.
Tango naona nawe umeamua kuwa sehemu ya Tatizo la nchi hii, unawezaje kufkiria kuiendesha nchi lwa kukutegemea kuomba misaada??? Hivyo ndivyo wewe unavyoongoza familia yako?? Ni vyema ukatambua mapema kuwa sio sifa, utaratibu wala kazi ya Rais flani kuwa kinara wa kuomba misaada badala ya kupanga mikakati ya kuitegemeza nchi yake katika nyanja zote. Ni uvivu wa kufikiri, ubabaishaji, ufinyu wa mawazo, kukosa maono na mikakati madhubuti ndiko kunaopelekea nchi yetu kurely on Misaada. Yaani unataka Rais awe na kijivazi rasmi cha kuombe msaada?? Sasa tunavyong'ang'ana kutafuta vazi la taifa ni ili avae nani???
 
Nakohoa kohoa hapa ili sauti itoke vizuri nataka niwe msanii. Nani asiyetaka kuja kuonwa na rais hosp. Nakata bima nzuri ili nilazwe Aghakan shigongo nitampa laki yake aniandike ili amvute aje anione
 
Mkeo mwenyewe amekushinda, nakushauri umalize matatizo yako ya kifamilia kwanza

Unaonaje ukiwa nyumba ndogo yake msaidiane kutatua matatizo ya kifamilia? Au hupendi kuwa second lady mkuu muonamambo atakapoukwaa urais?
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kutazama utendaji kazi wa Rais wangu mheshimiwa JK na kufanya self assessment nimegundua kuwa naweza kuwa Rais wa Nchi hii....

Moja Kati ya kazi kubwa anayofanya JK ambayo nami naiweza vilivyo ni kupanga na kukubali mialiko ya nje na kusafiri hata Kama ni kufungua NGO, kupiga Picha na wasanii, na kuhudhulia mazishi.... Hizi ni kazi nilizozipenda tangu udogo wangu.


Kingine ni kukimbia matatizo yanapotokea kwa kukimbilia nje ya nchi na kumkabidhi Waziri Mkuu wangu kwanza achemke kisha Kuja kuyamaliza either kwa kukaa na wazee ww Dar es salaam Au hotuba Ikulu Huku ukichekacheka ... Hii experience nayo ninayo Kwani niliwahi kuwa muigizaji...

Kazi nyingine ya kuudhulia mazishi ya wasanii na kuwatembelea wakiwa wagonjwa ... Nayo nahifahamu vizuri sana na pia ni mwepesi Wa kufuatilia mazishi yenye ujiko...

Na kazi ya kupokea na kujaribu suti nayo sidhani Kama itanishinda Kama ninavyoweza kuhaidi mambo Mengi bila kutekeleza.....

Wana bodi nawaombeni mniorodheshehe kazi zingine za Rais ili niweze kujipima vizuri kabla sijaingia kwenye uchaguzi
kwa sifa hizo ulizozisema lazima ugombee kwa tkt ya ccm
 
Kingine,
Inabidi uwe na uwezo mkubwa wa kuahidi hata visivyotekelezeka.

Mfano unaweza ukaahidi Treni za kasi, DSM to Mwanza, hata kama Treni za kawaida zimekushinda.

Pia unaweza ukawahidi MACHINGA COMPLEX kila wilaya, hata kama hii moja hapa Karume haitumiki.
 
pita kabisa na usirudi....acha tumchgue mrithi wa dhaifu...mh. naendelea kusisitiza usimsahau shonza hata u dc.

na mwapamba awe mkuu. wa mkoa,na yule cris lukosi awe waziri wa mambo ya nje .kura nakupa
 
je una watoto na wanafamilia makini ambao wapoa tayari kutumia sawa madaraka yako?
 
Back
Top Bottom