shumbimadelu
Senior Member
- Jan 8, 2013
- 185
- 64
Akili nyengine za kipuuzi wewe umeona hayo kwa jk je mazuri aliyoyafanya pia unaweza kuyafanya labda ungetangaza kugombea ukatibu mkuu wa chama chako angalau ukapata kujikopesha na kujichukulia wake za watu na kufanya uasharati na kila kimwana wa ofisini kwako.
Yap kama napelile mwandosya patel na kimwana kipya kilichoingia shonza. Nasikia wanakigombea na shumbi madelu gulo