Natangaza kugombea Urais

Natangaza kugombea Urais

muonamambo

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
879
Reaction score
551
Baada ya kutazama utendaji kazi wa Rais wangu mheshimiwa JK na kufanya self assessment nimegundua kuwa naweza kuwa Rais wa Nchi hii....

Moja Kati ya kazi kubwa anayofanya JK ambayo nami naiweza vilivyo ni kupanga na kukubali mialiko ya nje na kusafiri hata Kama ni kufungua NGO, kupiga Picha na wasanii, na kuhudhulia mazishi.... Hizi ni kazi nilizozipenda tangu udogo wangu.


Kingine ni kukimbia matatizo yanapotokea kwa kukimbilia nje ya nchi na kumkabidhi Waziri Mkuu wangu kwanza achemke kisha Kuja kuyamaliza either kwa kukaa na wazee ww Dar es salaam Au hotuba Ikulu Huku ukichekacheka ... Hii experience nayo ninayo Kwani niliwahi kuwa muigizaji...

Kazi nyingine ya kuudhulia mazishi ya wasanii na kuwatembelea wakiwa wagonjwa ... Nayo nahifahamu vizuri sana na pia ni mwepesi Wa kufuatilia mazishi yenye ujiko...

Na kazi ya kupokea na kujaribu suti nayo sidhani Kama itanishinda Kama ninavyoweza kuhaidi mambo Mengi bila kutekeleza.....

Bila kusahau kazi ya kwenda kutibiwa Marekani... hii nahihusudu sana,,, hasa ukizingatia haitaji udhoefu zaidi ya kujua namna ya kupanda na kushuka ndege,,,,

Wana bodi nawaombeni mniorodheshehe kazi zingine za Rais ili niweze kujipima vizuri kabla sijaingia kwenye uchaguzi
 
Mhe. Rais mtarajiwa nafikiri katika kipindi chako cha kuongoza makamo wa rais pia hatokuwa na haja hata kidogo kwani sidhani kama kazi ya kukata utepe kwnye miradi mbalimbali itakushinda.
 
Jamani mbona raisi Congo DR walimfanyia mazishi ya kifahari lwambo lwanzo makiadi? Raisi mwinyi alikwenda nyumbani kwa Dewji kumfariji kifo cha mkewe aliyekufa kwa ajari. kwa sababu kiongozi wa wamu ya kwanza alikuwa hawafariji wana familia wa wasanii waliokuwa wanakufa kama kina ahmmedi kipande, Mbaraka mwishehe na salum abdallah, basi hiyo nayo iwe halamu kwa mtawala kuhudhulia mazishi ya wasanii?

Jusi juzi raisi kikwete alimualika raisi mwai kibaki na kumpatia heshima ya kjina la barabara, watu walilalamika. jamani malalamiko mengine tuyawekee chujio.
 
kwa hiyo ni vema raisi wetu aache kuvaa jumba halafu avae chou en lai, halafu nywere zake azipige bushback ndipo akatembelee ulaya? nani atamthamini dunia hii ya leo! wewe uvae minguo ya kichina ya mwaka 1967, halafu ukatembelee UK na USA? msadda utakaofanikiwa kupata kama unaomba ni mafuta ya break tuu na sio kingine!!! kweli ujamaa na kujitegemea umeharibu sana jamii ya kitanzania kuliko hata kutawaliwa na mkoloni.
 
Naaminí kazí ya Urais utaiweza kwa kuwa jukumu lako kubwa kama anavyofanya JK anaposafiri kwenda nje ya nchí ni kutafuta kupiga picha na celebrities.

Kwa hiyo ww utakachofanya siyo kurudia kupiga picha na celebrities aliopiga não plcha JK, kama vile Beckham, 50 cents, Naomi Campbell na wengineo, bali utafute list mpya, ili marais wa awamu ya nne na tano wa hapa TZ muingie kwenye Guiness world records, kwamba mtakuwa mmewazidi marais wote tokea dunia iumbwe kwa kupiga picha na celebrities wengi zaidí!!
 
kwa hiyo ni vema raisi wetu aache kuvaa jumba halafu avae chou en lai, halafu nywere zake azipige bushback ndipo akatembelee ulaya? nani atamthamini dunia hii ya leo! wewe uvae minguo ya kichina ya mwaka 1967, halafu ukatembelee UK na USA? msadda utakaofanikiwa kupata kama unaomba ni mafuta ya break tuu na sio kingine!!! kweli ujamaa na kujitegemea umeharibu sana jamii ya kitanzania kuliko hata kutawaliwa na mkoloni.

kweli wewe ni Tango73 km username yako inavyojistate.
 
Last edited by a moderator:
Hujamtukana KIKWETE ila umeongelea upande wake wa pili
Baada ya kutazama utendaji kazi wa Rais wangu mheshimiwa JK na kufanya self assessment nimegundua kuwa naweza kuwa Rais wa Nchi hii....

Moja Kati ya kazi kubwa anayofanya JK ambayo nami naiweza vilivyo ni kupanga na kukubali mialiko ya nje na kusafiri hata Kama ni kufungua NGO, kupiga Picha na wasanii, na kuhudhulia mazishi.... Hizi ni kazi nilizozipenda tangu udogo wangu.


Kingine ni kukimbia matatizo yanapotokea kwa kukimbilia nje ya nchi na kumkabidhi Waziri Mkuu wangu kwanza achemke kisha Kuja kuyamaliza either kwa kukaa na wazee ww Dar es salaam Au hotuba Ikulu Huku ukichekacheka ... Hii experience nayo ninayo Kwani niliwahi kuwa muigizaji...

Kazi nyingine ya kuudhulia mazishi ya wasanii na kuwatembelea wakiwa wagonjwa ... Nayo nahifahamu vizuri sana na pia ni mwepesi Wa kufuatilia mazishi yenye ujiko...

Na kazi ya kupokea na kujaribu suti nayo sidhani Kama itanishinda Kama ninavyoweza kuhaidi mambo Mengi bila kutekeleza.....

Wana bodi nawaombeni mniorodheshehe kazi zingine za Rais ili niweze kujipima vizuri kabla sijaingia kwenye uchaguzi
 
Tango Tango73 tafadhali soma signature yangu
kwa hiyo ni vema raisi wetu aache kuvaa jumba halafu avae chou en lai, halafu nywere zake azipige bushback ndipo akatembelee ulaya? nani atamthamini dunia hii ya leo! wewe uvae minguo ya kichina ya mwaka 1967, halafu ukatembelee UK na USA? msadda utakaofanikiwa kupata kama unaomba ni mafuta ya break tuu na sio kingine!!! kweli ujamaa na kujitegemea umeharibu sana jamii ya kitanzania kuliko hata kutawaliwa na mkoloni.
 
Last edited by a moderator:
Mkeo mwenyewe amekushinda, nakushauri umalize matatizo yako ya kifamilia kwanza
 
Baada ya kutazama utendaji kazi wa Rais wangu mheshimiwa JK na kufanya self assessment nimegundua kuwa naweza kuwa Rais wa Nchi hii....

Moja Kati ya kazi kubwa anayofanya JK ambayo nami naiweza vilivyo ni kupanga na kukubali mialiko ya nje na kusafiri hata Kama ni kufungua NGO, kupiga Picha na wasanii, na kuhudhulia mazishi.... Hizi ni kazi nilizozipenda tangu udogo wangu.


Kingine ni kukimbia matatizo yanapotokea kwa kukimbilia nje ya nchi na kumkabidhi Waziri Mkuu wangu kwanza achemke kisha Kuja kuyamaliza either kwa kukaa na wazee ww Dar es salaam Au hotuba Ikulu Huku ukichekacheka ... Hii experience nayo ninayo Kwani niliwahi kuwa muigizaji...

Kazi nyingine ya kuudhulia mazishi ya wasanii na kuwatembelea wakiwa wagonjwa ... Nayo nahifahamu vizuri sana na pia ni mwepesi Wa kufuatilia mazishi yenye ujiko...

Na kazi ya kupokea na kujaribu suti nayo sidhani Kama itanishinda Kama ninavyoweza kuhaidi mambo Mengi bila kutekeleza.....

Wana bodi nawaombeni mniorodheshehe kazi zingine za Rais ili niweze kujipima vizuri kabla sijaingia kwenye uchaguzi

kagombee urais wa kijiji chako uabike kwa kukosa kura ndio utuletee ngonjera zako hapa jukwaani
 
Labda urais wa tff mana huko ndio kunafaa majungu yako haya kufanya kazi
 
Unaweza lakini mwambie mkeo ajiandae kuwa mwenyekiti wa NGO'S yeyote ile, maana atapokelewa kama wewe mh. Rais na kupigiwa saluti pia. Haaa...
 
na usisahau kuwapa viburudisho vyako nafasi za juu serikalini
 
Una viburudisho vya kutosha kujaza nafasi za viti maalum, ubunge wa kuteuliwa, u-DC, nk?
 
Akili nyengine za kipuuzi wewe umeona hayo kwa jk je mazuri aliyoyafanya pia unaweza kuyafanya labda ungetangaza kugombea ukatibu mkuu wa chama chako angalau ukapata kujikopesha na kujichukulia wake za watu na kufanya uasharati na kila kimwana wa ofisini kwako.
 
Back
Top Bottom