Natambulisha Live Online Tv kwenu

Natambulisha Live Online Tv kwenu

Mi nashauri wangetulia kwanza, wakaamua wafanye kitu kimoja kama ni Tv waifanyie kazi hyo mpaka ikamilike maana ishu ya leo channel inaonyesha kesho haionyeshi inazingua, bora wakatafuta ,means ya kuzifanya ziwe live all the time.
Pili wangeweka means ya kuweza kutoa matangazo either kwa kulipia au namna nyengine ili wale ambao wanachukizwa na zile Pop up ads waweze kutatuliwa.
Tatu watupe tricks na tips za kufanya channel zisiwe zina nata nata kila baada ya muda, pia ingesaidia
 
Mkuu mimi ninatumia android lakin naona nikibofya hiyo link yako hairespond bali inarud back one page though Nmesharuhusu installation from unknown sources
Shida ni nini?
 
Kuna channel ambayo wanarusha mapinduzi cup???maana Azam sport Hd naona haipo hewani,,,msaada tafadhali
 
Nimeinstall bluestacks kwenye laptop alafu nikaweka tvonline apk ,ikainstall vizuri ila tatizo sipati picha inatoa sauti alafu haionyeshi .msaada pls mkuu
 
Azam2 na hd haziplay but zingine fresh mpaka super sport 1 had 4
 
Mmeweka update ya online tv app lakini bado azam 2 na hd haziplay
 
Local channel nyingi naona zimeondolewa vipi mfano azamtv haionekani hata moja tangu michuano ya znz ianze
 
jamani mm napata shida hii mnanisaidiaje
Screenshot_2017-01-12-06-53-03.png
 
Back
Top Bottom