Natambulisha Live Online Tv kwenu

Natambulisha Live Online Tv kwenu

Mkuu Mimi nina Nia Na ndoto ya kufungua Tv Yangu hapo baadaye ila Kwa sasa naitaji kufungua Tv ya online kupitia internet ili nijue ata idea unavyokuwa... Kama unajua/ Kwa yoyote anajua jinsi ya kufungua Tv online bac naomba anijuze kunipa huo msaada. Asante
kama upo serious ni Pm nitakuelekeza bure kabisa, lakini uwe na uhakika wa kuwa na internet yenye speed nzuri kwa masaa 24hrs
 
Asante Sana mm nafurahia tu maana napata azam 1;2 na HD na Chanel zingine kibao[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hizo zitapatikana kwenye version mpya itakayotolewa siku za karibuni
Mkuu samahan mi nlikuwa naenjoy sana hii apk lkn jana nili-reset cm yangu so nkafuta apk zote hvyo nataka kuinstall tena online apk inasema THERE WAS A PROBLEM PARSING THE PACKAGE wakat apk nyngne zote znakubali tu,tatizo ni nin?,msaada pls
 
Uchafu ni kwako tu, kama huelewi sema uelekezwe sio kutoa povu, hata hivyo hukulazimishwa kufuata hayo maelekezo. Kichwa maji tu wewe.
ELIMU...ELIMU... ELIMU...


Fungua hapa kisha fuata yale maelekezo ukifanukiwa une ufute hiyo comment yako ya ki facebook,

http://store.mdcgate.com/market/app_detail?appID=22&platformID=6
kwanini usifungue thread yako ueleze haya?,hapo mi naona kama unataka kusafiria nyota ya mwenzio...just imagine unaweka tangazo kinzani na mpinzani wako
 
Uchafu ni kwako tu, kama huelewi sema uelekezwe sio kutoa povu, hata hivyo hukulazimishwa kufuata hayo maelekezo. Kichwa maji tu wewe.
ELIMU...ELIMU... ELIMU...


Fungua hapa kisha fuata yale maelekezo ukifanukiwa uje ufute hiyo comment yako ya ki facebook,

http://store.mdcgate.com/market/app_detail?appID=22&platformID=6

Au hapa kisha tafuta app inaitwa live stream player
http://store.mdcgate.com/market/
bado unarudia pumba hapa hamna kitu,jamaa ndo yuko gd huu uchaf wak kaa na bek3 wenu muangalie
 
Mkuu samahan mi nlikuwa naenjoy sana hii apk lkn jana nili-reset cm yangu so nkafuta apk zote hvyo nataka kuinstall tena online apk inasema THERE WAS A PROBLEM PARSING THE PACKAGE wakat apk nyngne zote znakubali tu,tatizo ni nin?,msaada pls
idownload tena http://bit.ly/2g2ODUl
 
Mimi imekubali toka juzi sijawasha TV yangu natumia simu yng tu but channel ya Clouds Tv inazingua kidogo.Ila ni application nzuri sana.Ubarikiwe mkuu uliyeanzisha mada hii.
 
Mimi imekubali toka juzi sijawasha TV yangu natumia simu yng tu but channel ya Clouds Tv inazingua kidogo.Ila ni application nzuri sana.Ubarikiwe mkuu uliyeanzisha mada hii.
mi napiga mishe bush kwa 80% ya siku za mwez but nipo safi taarifa ya habar,mipira nk naenjoy tu as if nipo town.
 
Hii niliweka baada ya watumiaji nikiwemo na mimi kukosa channel za azam kwenye app ya mleta mada.
Sina maslahi yoyote kwenye hiyo app, am doing this for help.
Pia tangu nimeweka hii app inayo zungumiziwa na mleta mada sijaona channel yoyote.
9c3b5daf01f8a1cd7ecde5d8549f4e64.jpg

Mechi zote tumia mobdro.
Au ingia katika hii link
http://store.mdcgate.com/market/
Dawnload app inatwa live stream player, ukifungua nenda sehem ya search andika jina la channel unayo hitaji then play.

Mimi imekubali toka juzi sijawasha TV yangu natumia simu yng tu but channel ya Clouds Tv inazingua kidogo.Ila ni application nzuri sana.Ubarikiwe mkuu uliyeanzisha mada hii.
Fungueni thread yenu,
Msiharibu maudhui ya mleta mada!
 
Mkuu mbona mie nikjaribu kutap hiyo link inagoma kufunguka .Msaada please
 
bado naboresha, na kuhakikishia baada ya siku chache nitaongeza channel nyingine nyingi tu. Ahsante kwa mrejesho wako
Mkuu mbona clouds TV,star TV,na channel ten hazifunguki kwangu?Napata Azam peke yake.
 
Back
Top Bottom