muda wa kuondoka homeni ukiolewa au kufikisha miaka 26 kama unajitegemea,hata mimi ningekuwa mzazi wako ningekubania sababu tu ya kuwa huru haijitoshelezi.wananibania home,eti hawataki niondoke nikaanza maisha yangu sijui wanataka nizeekee hapa hapo,
muda wa kuondoka homeni ukiolewa au kufikisha miaka 26 kama unajitegemea,hata mimi ningekuwa mzazi wako ningekubania sababu tu ya kuwa huru haijitoshelezi.
Hela zilitoka na kwakuwa uliingia mitini Kloro akasema akushikie.Nimekupa tu like sio sababu of what you have said....lol.. ndio ina logic
But shida yangu i think it is time nipate feedbak ya ile project
nahisi coworker Kloro na wew mnanibania kunipa fidbak na pesa...
Hela zilitoka na kwakuwa uliingia mitini Kloro akasema akushikie.
Huyu bibie inabidi aendelee kuwa home hatutaki kutengeneza kina Wema wengine huko street.Thanks for the feedbak... nitafuatilia hizo pesa... haya endelea na huyu bibie...
Huyu bibie inabidi aendelee kuwa home hatutaki kutengeneza kina Wema wengine huko street.
wananibania home,eti hawataki niondoke nikaanza maisha yangu sijui wanataka nizeekee hapa hapo,
unabiwa na nani, kivipi?yaani natamani sana kuwa huru,lakini wananibania....................