johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,803
- 143,272
Kuna mambo tungependa kuyajua kutoka kwa Serikali yetu tukufu lakini mule bungeni hakuna mwenye uthubutu na ushawishi wa kuyauliza
Kadhalika kuna mapendekezo ambayo Wabunge makini huyatoa kwa Serikali na hasa hutolewa na Kambi ya upinzani
Ndiposa nimewakumbuka kea ghafla Suzan Kiwanga, Godbless Lema, Tundu Lisu, Freeman Mbowe, J J Mnyika na Sugu kadhalika John Heche
Chadema ya 2015 ilitisha sana!
Kadhalika kuna mapendekezo ambayo Wabunge makini huyatoa kwa Serikali na hasa hutolewa na Kambi ya upinzani
Ndiposa nimewakumbuka kea ghafla Suzan Kiwanga, Godbless Lema, Tundu Lisu, Freeman Mbowe, J J Mnyika na Sugu kadhalika John Heche
Chadema ya 2015 ilitisha sana!