dinkush 1691
Member
- Apr 12, 2014
- 13
- 4
Lengo langu ni kuanza na kuku 1000 lakini bado sijapata taarifa kamili za mradi wenyewe ninaotaka kuuanza mabanda ninayo kuna Mtaalam aliyakagua akayapitisha kuwa yanafaa.
Taarifa ninazoomba mnisaidie kushea ni tofauti ya ulaji wa broiler na Chotara, mtaji kiasi gani Kwa broiler au Chotara na mchanganuo wake, return ya pesa nitakayoweka n.k kadri ya mchangiaji atakavyoona taarifa anayonipa ni muhimu.
Asanteni 🤝
Taarifa ninazoomba mnisaidie kushea ni tofauti ya ulaji wa broiler na Chotara, mtaji kiasi gani Kwa broiler au Chotara na mchanganuo wake, return ya pesa nitakayoweka n.k kadri ya mchangiaji atakavyoona taarifa anayonipa ni muhimu.
Asanteni 🤝