Natamani mpenzi wangu achepuke,a 'experience the difference'

Natamani mpenzi wangu achepuke,a 'experience the difference'

Weka kondom iliyotumika chumbani ,kwenye gari na suruali (zitawanyishe) na akukute nazo misimu tofauti
Demu hana akili, ataomba samahani kwa kumkuta jamaa na hizo kondom. Kumbuka jamaa kasema huyo Dada huomba samahani hata kwa makosa ya mshikaji. CHA KUFANYA: AMCHARAZE MINGUMI YA KUTOSHA NA KUMTIMUA.
 
Mkuu mpe majaribu kimya kimya atapata ufahamu tuu

Nilikutwa na zengwe kama hilo yaan ni kero balaaa,kwasababu mm mtu wa mtungi mwisho wa siku akaona hapa hakuna future...akajitenga kistaarabu kabisa nilishukuru sana

Kaolewa mwezi 10 mwaka jana na nilimpa hongera mimi bado nipo nipo mawazo ya ndoa sina kabisa

Bado sijaonja ladha nyingi sana km kidoti,tunda,hamisa nk
haha hongera mkuu mimi asee ameniganda hadi kero , nimeamua kumpotezea kimya kimya simtafuti kabisa hata week 2 ila siku akinitafuta anachangamka kama hakuna kilichotokea ,
 
Demu hana akili, ataomba samahani kwa kumkuta jamaa na hizo kondom. Kumbuka jamaa kasema huyo Dada huomba samahani hata kwa makosa ya mshikaji. CHA KUFANYA: AMCHARAZE MINGUMI YA KUTOSHA NA KUMTIMUA.
Ataenda kujinyonga au kupanga kisasi cha ajabu ajabu

Akili.ya wanawake wakitendwa wanaijua wenyewe aisee

Si umeona thread humu ya mdada anaitwa MAMA MTARAJIWA kam sijakosea anacho taka kukufinya


Huyo dawa ni kumuacha kwa step by step mwisho siku anapata ufahamu na bahat nzur wakipata ufaham huwa niwaelewa sana


Kwanza anaweza piga simu upo wapi unasema nipo home, akiswma nakuja unasema sawa...kumbe haupo unaacha asubili mpk achoke na siku mkikutana hakuna kuomba msamaha..

Ukigegeda unaamka na kuvaa kama vile umepiga malaya,nakusema nenda mm naondoka

Hakuna kumcall wala sms,hata akituma hujibu na huombi msamaha..akiulize nilikuwa bize


Mwisho wa siku atajua tuu hapa sipo labda km hana moyo
 
haha hongera mkuu mimi asee ameniganda hadi kero , nimeamua kumpotezea kimya kimya simtafuti kabisa hata week 2 ila siku akinitafuta anachangamka kama hakuna kilichotokea ,
Mkazie tuu atasepa,huwa akili zikiwajia ni waelewa sana

Maana.wakipenda wapo ladhi hata kuwa ni demu ambaye anajua unadem mwingine anasema basi awe hata wa pili


Kaz unayo mkuu, pambana nae kabla hajaalibu zaid
 
Yan ushampasua mbao binti wa watu sahivi unataka kum'dump???
aisee...unaeza kuuza bunduki ukanunua rungu kwa style hiyo..
 
Huwezi amini wanaume wanapenda mabinti wa aina hiyo yaani wale ambao ni wakaliwakali, wakorofi, wasio na maadili. Lakini pia mabinti wa aina hii tena wengi wao ndo huwa waremboooo wenye mvuto. Unakuta mwanaume anatukanwa na binti vibaya sana, lakini utamsikia akiomba msamaha kwa unyenyekevu mkubwa. Mabinti ambao wana maadili na wanyenyekevu wengi wao hawana mvuto na hawapendwi, utakuta mwanaume anamfokea na wala haombi msamaha sana sana utasikia akisema ukitaka nenda kwenu hata sasa, mimi sikutaki unaning'ang'ania
Huyo alokudanganya kakuweza.
 
Weka kondom iliyotumika chumbani ,kwenye gari na sururi (zitawanyishe) na akukute nazo misimu tofauti
Aliahazikuta mara kibao sana mkuu ila ndo vile kua gentleman naomba msamaha ananisamehe na kusahau. Hakika namuonea huruma sana.
 
pole mkuu.. mi yalinikuta hayo... nimemfanyia vibweka... kila aina ya kituko.. ila nilivyojifanya mwehu akili zimeniruka.. mbona aliniacha mwenyewe!
nakushauri kuwa chizi tu..!
hahaha jf inavituko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom