goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,855
- 12,984
Na unamika mingpa ujawai. Ata kuuza ata mayaiSijawai Fanya biashara ya kuniingizia hata 1000 kwa siku, natamani sana nifanye biashara lakini sioni njia kabisa naona mbele Giza, nafurahi maana najua kesho haiwezi kua kama Leo.