Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Mwombe lara 1 akufanyie promo.
Unaonekana mbinu unazijua..Hahahaha. Yaani mange kimambi katuharibia watoto wetu mie sina hamu!
Hang around their locations mama. Una kamtaji kakuanzia? Wenzio wanaenda gym colosseum hotel 500$ per month. Kuwinda kunataka kapumzi kiduchu.
Kama unatafuta mzungu sababu umechoka kutapeliwa basi unaweza kua disapointed maana matapeli ni kote kote. Just like kua faithful sio exclusivity ya wazungu kua unfaithful sio exclusivity ya watu weusi.
Maybe unawaona weusi matapeli sababu unaishi nao wengi na umejoonea baadhi yao wakitapeli. Ukiishi na wazungu na ukawachunguza utajionea pia. Na mbona hujataja mhindi au mchina? Wenyewe nao matapeli?
Kama unataka mzungu sababu unahisi kuvutiwa na wazungu (kwa maana ya kwamba kua mzungu tu tayari amesha fanya nusu ya safari) basi try to hang out where most of them do hapo I
Unapo ishi.
Ikibidi nenda specialised sites kama meetics na zingine, make it clear unataka mzungu.
Good luck
.......
Kwenye nyekundu ni PMJamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!
Hahaha!. Mdada nafikiri unasumbuliwa na misconception ya neno mzungu.Uliza wewe mkuu, maana mie naona ntaambiwa mlalamishi.
Kupenda wazungu mdada anaweza kuletewa type za huyu
![]()
Unaonekana mbinu unazijua..
tena hayo mawindo ni sawa na kucheza kamari, unaweza pia ambulia patupu na umeshapoteza pesa za chambo zote
Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!
Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!
Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!
nakutakia heri Bi.BreeVen,Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!
Kwani wewe mwenyewe ni mzungu?Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!