Natamani kuolewa na mzungu

Natamani kuolewa na mzungu

Kama unatafuta mzungu sababu umechoka kutapeliwa basi unaweza kua disapointed maana matapeli ni kote kote. Just like kua faithful sio exclusivity ya wazungu kua unfaithful sio exclusivity ya watu weusi.
Maybe unawaona weusi matapeli sababu unaishi nao wengi na umejoonea baadhi yao wakitapeli. Ukiishi na wazungu na ukawachunguza utajionea pia. Na mbona hujataja mhindi au mchina? Wenyewe nao matapeli?
Kama unataka mzungu sababu unahisi kuvutiwa na wazungu (kwa maana ya kwamba kua mzungu tu tayari amesha fanya nusu ya safari) basi try to hang out where most of them do hapo I
Unapo ishi.
Ikibidi nenda specialised sites kama meetics na zingine, make it clear unataka mzungu.
Good luck
uwiiiiiiiiii nimekumiss mamito Roulette, upo wangu??
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mi mwenyewe mzungu,mimi na jibwa langu aina ya German Shepherd tutafurahia sana kuwa na wewe.
 
Mydear nafanya kazi kwenye engoes moja ya wajeruman na wataliano..,,2be honest they r verry caring n they treats woman so sweet n kindly,,4them woman r their first priority thing..,,but talking inlove(sex relation) sikushauri watakusodoma wether u agree with me or not,,...kua 2 mvumilivu i believe there is a man out there waiting 4u,,...!!

na hicho kiingereza cha kuungaunga si ungetumia tu kiswahili dada? eti?
 
Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!


Usiombee wazungu ni noma tena wao wako na wewe ila jioni wanapakatwa na wanaume wenzao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom