rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,498
- 41,927
kanji afai ww, bora niishi mwenyewe
kanji afai ww, bora niishi mwenyewe
Kwa mwanaume umri huo Bado Sana kutuliamkuu mimi ninamiaka 27 nitafute mwanamke wa miaka 36+?
Mwanaume una danga?Asante mkuu ngoja niendelee kudanga
kweli mkuu,Kama una 27... kutokana na geographical location ya Tanzania. Vumilia kama miaka 6 ndio uoe basi, maana kipindi una 33 + tafuta mtoto alie komaa kidogo au subiri ufikishe 35 + alafu uchukue alie komaa... mwanaume wa miaka 27 anakuwa hajakomaa sana, tofauti na mwanamke wa miaka 27... watoto wa kike wanawahi sana kukomaa kimaisha tofauti na Me 🙄🙄🙄🙄
Danga alafu ubetAsante mkuu ngoja niendelee kudanga
Mwanamke wa kuoa na kupata utulivu ni kuanzia 36+ na awe kazaa watoto au mtoto
mkuu mimi ninamiaka 27 nitafute mwanamke wa miaka 36+?
Angalia usije ukadanguliwa na weweAsante mkuu ngoja niendelee kudanga
Inategemea na matunzo yakoAtazeeka mapema huyo mkuu
Kweli kabisa. Mimi nashauri afike 32 kabisa. Saivi aendelee tu kubetMzee baba we kula bata umri huo bado subiri ufike 29-30
Kweli kabisa. Mimi nashauri afike 32 kabisa. Saivi aendelee tu kubet