Natamani kuoa, lakini hela sina

Natamani kuoa, lakini hela sina

Oi, huwezi kukosa mdogo wangu... kuna watu vijijini huko hiyo kula ya mara 3 na visempele vya buku ni maisha wanayoota daily..
Unakuta binti mrembo anapiga kibarua cha buku 5 kwa siku, na kibaya zaidi hiyo buku 5 sio daily. ..
Tembea ujionee haya maisha yalivyo kama pepa ya physics
 
Mtoto wa kiume unakuja humu unajiliza kama demu

Amka upambane mamáe, dunia haina huruma na mwanaume masikini
 
Uwezo wa kumlisha ugali masaa 24 upo
Na kumvesha nguo za bukubuku upo
Nitampata wapi wakuridhia hali yangu ya umaskini
Ww tafuta nguvu za kiwanda cha uzalishaji. Mambo ya kutafuta hela achia wazee
 
Tafuta, hamna mtu anakosa mke . Wengine shida sio ugali wala nguo za buku, pengine wanataka kuolewa waondoke makwao, labda mtu amelelewa na mama wa kambo anateswa.
 
Uwezo wa kumlisha ugali masaa 24 upo
Na kumvesha nguo za bukubuku upo
Nitampata wapi wakuridhia hali yangu ya umaskini
Siyo kila mwanamke anapenda kuwa golikipa. Kaoe Muha umpatie mtaji wa kukopesha vyombo uone kama hamtatoka.
Cha muhimu achana na watu wa pwani wanaopenda vigodoro.
 
Nenda usukumani ndani ndani huko utawapata wa hivyo.
 
Back
Top Bottom