Ushauri wako mzuri mkuukuendekeza tu .. yani wewe unaona moto mkubwa halafu ndani kuna dhahabu unaingia kuchukua dhahabu halafu unalia naungua huku umekumbatia dhahabu ndani ya moto we utakuwa huna akili... kimbia achana na moyo toto
fanyia kaziUshauri wako mzuri mkuu
Wengi wanasema huwezi kumuacha kama huna mwingine kuna ukweli wowote katika hili?Huwezi kutupa nguo/kiatu (ki)mbaya kabla ya kununua (ki)nyingine.
Tafuta msichana mwingine (mzuri zaidi) na uwe na uhakika nae kisha ndo uachane na huyo uliyenae sasa hivi.
bora umwambie mkuu.dogo nakushauri soma....soma dogo......ukishindwa piga puli......wenzio ilitusaidia mpaka tulipopata fedha ya kuwahudumia,,, kozi wana ugonjwa wa kike hao.........
hamna ukweli maisha ya kuwa single mazuri sana try utakuja kuniambiaWengi wanasema huwezi kumuacha kama huna mwingine kuna ukweli wowote katika hili?
Ndiyoooo. Tena kwa asilimia kubwa.Wengi wanasema huwezi kumuacha kama huna mwingine kuna ukweli wowote katika hili?
Labda kwa wanaopiga masta.hamna ukweli maisha ya kuwa single mazuri sana try utakuja kuniambia
Hapa maturity doesn't matter.Both of you are so immature that it hurts.
Eti machozi yanakutoka kisa ki dem.
Nonsense.
SureLabda kwa wanaopiga masta.
hamna mkuu hata degreeLabda kwa wanaopiga masta.
hamna mkuu hata degree
Nilimaanisha Punyetoha hahahahaha haya nimedandia yreni kwa mbeleNilimaanisha Punyeto
Basi wazazi tujipe pole kwa kizazi cha kizembe kama hichiTafiti zinaonyesha kwamba 90% ya wanavyuo wa siku za sasa wanaconcentrate zaidi kwenye maisha ya mapenzi na ujinga ujina bila kusahau na u-social networking usio na mbele wala nyuma.
wanadhani kuoa na kuolewa ni jambo la kukurupuka, wanadhani watazaa na kuishi humo hostel kwenye maji na umeme wa bure bila kusahau room ya TZS 41,500/4month.
Kwani yeye nini? Malizia, jifunze kwanza kutofautisha kati ya Lecture na Lecturer, Lecture kweli inaweza tembea na demu wako?Tatizo sio kumuhudumia mkuu
Utamhudumiaje bila sababu za msingi?
Kwani yeye....au basi tubu.
kweli utoto raha sanaHabari za wakati huu wanaJF,
Naomba niende moja kwa moja, Nimekua kwenye mahusiano na binti mmoja kwa mda wa mwaka 1 na 1/2 sasa.
Nimekumbana na yafuatayo:-
-Sikujua hapendi utani, nikamtania alinichoma kalamu na kwa kua nampenda nikavumilia.
-Wewe ni shetani tu kumbe unajifanya malaika. Pale unaponihitaji tu.
Sababu kaniomba tsh. laki 2 na 1/2 nikamgomea kwasababu hiyo ndo siku tumeingiziwa boom iitoshe na yeye kaingiziwa so sote tulikua na hela hivyo nikawa mgumu kumpa maana hana sababu za msingi.
- Toka mbele ya macho yangu shetani wewe.
Hapo ni baadaye kidogo tulikua tinaelekea COED kufanya UE nikataka kumsaidia begi ndugu yangu aliniaibisha mpaka machozi yalinitoka nikachukulia poa tu.
Baada ya paper nikamfuata tuongee nikamuuliza kulikoni.
Akanijibu kuna mtu alimuudhi hivyo alikua na hasira (hasira za mtu mwingine ziniangukie mimi?) (nikajisemea kimoyomoyo)
Nikajitahidi sana kuropoka nikamwambia siwezi kuendelea naye tena, akajibu poa (kirahisi) (sijui alijuaje nampenda)
Tukaagana vizuri tu mida ya usiku napigiwa simu rafiki yake akidai niende nikamuone (mpenzi wangu) coz muda wote analia tu.
Nikashindwa kujizuia nikaenda ndugu yangu"! Macho ya mtoto kike yalibadilika rangi nakuambia basi sijui ilikuaje nikamhug na kumsamehe kabisa.
Baada ya hapo ameendelea na tabia zake mara shetani mara toka mbele ya macho yangu mara my kuna lecture ananitongoza mambo mengi.
Kila nikitaka kumuacha naumia sana na sijui kwanini inanitokea hivi.
Ushauri wako ni wa maana sana, naomba matusi yasiwepo.
Kuna jamaa etu alinyonywa Guest alilia mpaka akajaza watu,,,akiwa na pesa atanyonywa tu