Sidhani kama kuna uhusiano kati thread yenyewe na course ninayosomaUnajielezea kwa shida kweli, upo mwaka wa ngapi na fani gani??
Ili hali ushachangia kidogo ni vizuri hiyo ni really kabisaniache nini sasa!
kwanza hii story inauhalisia ila ni story inayogusa maisha ya mtu mwingine ila sio wewe.
Mtu makini tu, ndiyo anaweza kugundua kuwa you aint victim, atafuatilia kila post unayojibu.
Siku nyingine sio lazima ujifanye wewe ndio mhusika kwenye story, kuwa mbinifu utapata wachangiaji wengi pia (according to your need).
Jaribu kupitia nyuzi mbalimbali utanielewa zaidi.
Aaaaaaah.... miaka 21 mtotoUtoto
Kwa hiyo ndio kusema nami umeniwekea hiyo attitude?Ndio tatizo la kumuonesha mtu unampenda sana
Anza kuonesha don't care attitude
Akili imkae sawa kwanza
Hapana loveenessHuyo demu atakuwa mjamzito, nenda kampime kuhakikisha.
Kutamka neno achana naye ni kazi ndogo sasa moyoni ndo kuna hatariacha ujinga achana na huyo demu ,, usiwe lege lege wewe
Sasa sababu ingewa hiyo c aniambie nijuewewe ni number two yake...yuko na ww coz anajua unampenda..na akiumizwa na vibwana vyake ndo anakuja kwako...
Ndio maana nakwambia wewe lengo lako, ulitaka tu attention ya watu, watu wachangie topic yako, but this story ain't yours.Ili hali ushachangia kidogo ni vizuri hiyo ni really kabisa
Ni mpaka nikupigie kengele ndo uniaelewe auNdio maana nakwambia wewe lengo lako, ulitaka tu attention ya watu, watu wachangie topic yako, but this story ain't yours.
kuendekeza tu .. yani wewe unaona moto mkubwa halafu ndani kuna dhahabu unaingia kuchukua dhahabu halafu unalia naungua huku umekumbatia dhahabu ndani ya moto we utakuwa huna akili... kimbia achana na moyo totoKutamka neno achana naye ni kazi ndogo sasa moyoni ndo kuna hatari
Itakua amewahi kunyonywa kule Sehemu!!!!kuendekeza tu .. yani wewe unaona moto mkubwa halafu ndani kuna dhahabu unaingia kuchukua dhahabu halafu unalia naungua huku umekumbatia dhahabu ndani ya moto we utakuwa huna akili... kimbia achana na moyo toto
akiwa na pesa atanyonywa tuItakua amewahi kunyonywa kule Sehemu!!!!