- Thread starter
- #41
Ina hujui au????Af juz tu,ulituambia unasoma ordinary diploma,,,ukawa unaomba notes za adv Mathematics.
Vp diploma kumbe mnachukua bumu as usual?
Ina hujui au????Af juz tu,ulituambia unasoma ordinary diploma,,,ukawa unaomba notes za adv Mathematics.
Vp diploma kumbe mnachukua bumu as usual?
Tafuta muda siku moja nikupitie hapo Hall 2, twende tukatembelee wafungwa kumi pale segerea. 90% hawatakubaliana na adhabu walizopewa. wewe ni sawa na mfungwa kwenye huu utafiti hivyo sikutegemea useme 'NI KWELI'..Sio kweli
Isitoshe sisomi diploma ingawa hata wao boom wanapewaAf juz tu,ulituambia unasoma ordinary diploma,,,ukawa unaomba notes za adv Mathematics.
Vp diploma kumbe mnachukua bumu as usual?
Acha hizo mkuuNikitazama mbele kidogo..!
Naona kuna mmoja atakuja kuumizwa sana baadae kuliko ilivyo sasa hivi.
Na wewe ndio upo kwenye hatari kubwa.
Narudia tena"nikweli kabisa "Tafuta muda siku moja nikupitie hapo Hall 2, twende tukatembelee wafungwa kumi pale segerea. 90% hawatakubaliana na adhabu walizopewa. wewe ni sawa na mfungwa kwenye huu utafiti hivyo sikutegemea useme 'NI KWELI'..
Angalia thread uliyo anzisha tar 25 December 2016.Mara nying mkiwa waongo waongo mjitahd kuweka kumbukumbu vizuri.unfortunately nmeshindwa tu kuweka hyo link hapaIsitoshe sisomi diploma ingawa hata wao boom wanapewa
Ni sawa but ilikua rahic kuanzisha sasa ni kimbembe kusitishaSomeni acheni mapenzi, mapenzi na shule ni mlenda na pilau![]()
kuna mdau hapo juu kasema tatizo pesa sihitaji kuongeza neno, ndio maana unajipndekeza kubeba begi sababj huna cha kumpa ukiwa na pesa wanawake unawakontrol kama maroboti.Pia na wewe unaweza changia jambo
Dah... Mkumbushe pia Hilo boom ni mkopo.... Atatakiwa kulipa baadayeMwenzangu utoto unamsumbua akikua ataacha

Thread nakumbuka nilipost kabisa hivo usipate tabu kumbukumbu zako ziko vizuri Ila wewe kama mtu mzma unatakiwa ujiongeze sio unakurupuka tuAngalia thread uliyo anzisha tar 25 December 2016.Mara nying mkiwa waongo waongo mjitahd kuweka kumbukumbu vizuri.unfortunately nmeshindwa tu kuweka hyo link hapa
Ahaaaaaaaaaa vizuri kutambua hilokuna mdau hapo juu kasema tatizo pesa sihitaji kuongeza neno, ndio maana unajipndekeza kubeba begi sababj huna cha kumpa ukiwa na pesa wanawake unawakontrol kama maroboti.
btw masomo mema.
Amani mkuu...ucpanik.Thread nakumbuka nilipost kabisa hivo usipate tabu kumbukumbu zako ziko vizuri Ila wewe kama mtu mzma unatakiwa ujiongeze sio unakurupuka tu
kwani kusema nipo imekuaje basi kwa taarifa yako sisomi diploma
Siwezi kupanic na upuuzi Mimi but kumbuka vitu vingine havitakagi ujuajiAmani mkuu...ucpanik.
Mm nlikuwa nakukumbusha tu.
Unajielezea kwa shida kweli, upo mwaka wa ngapi na fani gani??Habari za wakati huu wanaJF,
Naomba niende moja kwa moja, Nimekua kwenye mahusiano na binti mmoja kwa mda wa mwaka 1 na 1/2 sasa.
Nimekumbana na yafuatayo:-
-Sikujua hapendi utani, nikamtania alinichoma kalamu na kwa kua nampenda nikavumilia.
-Wewe ni shetani tu kumbe unajifanya malaika. Pale unaponihitaji tu.
Sababu kaniomba tsh. laki 2 na 1/2 nikamgomea kwasababu hiyo ndo siku tumeingiziwa boom iitoshe na yeye kaingiziwa so sote tulikua na hela hivyo nikawa mgumu kumpa maana hana sababu za msingi.
- Toka mbele ya macho yangu shetani wewe.
Hapo ni baadaye kidogo tulikua tinaelekea COED kufanya UE nikataka kumsaidia begi ndugu yangu aliniaibisha mpaka machozi yalinitoka nikachukulia poa tu.
Baada ya paper nikamfuata tuongee nikamuuliza kulikoni.
Akanijibu kuna mtu alimuudhi hivyo alikua na hasira (hasira za mtu mwingine ziniangukie mimi?) (nikajisemea kimoyomoyo)
Nikajitahidi sana kuropoka nikamwambia siwezi kuendelea naye tena, akajibu poa (kirahisi) (sijui alijuaje nampenda)
Tukaagana vizuri tu mida ya usiku napigiwa simu rafiki yake akidai niende nikamuone (mpenzi wangu) coz muda wote analia tu.
Nikashindwa kujizuia nikaenda ndugu yangu"! Macho ya mtoto kike yalibadilika rangi nakuambia basi sijui ilikuaje nikamhug na kumsamehe kabisa.
Baada ya hapo ameendelea na tabia zake mara shetani mara toka mbele ya macho yangu mara my kuna lecture ananitongoza mambo mengi.
Kila nikitaka kumuacha naumia sana na sijui kwanini inanitokea hivi.
Ushauri wako ni wa maana sana, naomba matusi yasiwepo.
niache nini sasa!Acha hizo mkuu