Natamani kula Nyama

CtVKiLaZA

JF-Expert Member
Sep 13, 2011
301
37
Ni muda sasa na tatizo limeanza kuwa sugu. Nikila nyama, Samaki, mayai au maziwa tumbo linanyonga sana. Mpaka inabidi nivue shati nilale kwenye tiles au sakafu ya baridi. Mpaka nikitapika ndo najisikia vizuri.
 
Ni muda sasa na tatizo limeanza kuwa sugu. Nikila nyama, Samaki, mayai au maziwa tumbo linanyonga sana. Mpaka inabidi nivue shati nilale kwenye tiles au sakafu ya baridi. Mpaka nikitapika ndo najisikia vizuri.

baba yako katoka poland?
 
Mkuu, kama ukila mboga za aina nyingine hupati shida hiyo, shukuru Mungu maana hiyo ni bonge la bahati...utasave mahela kibao kwa kutokula hayo madude unayotamani! Haya mambo ya nyamanyama kwanza wewe siyo fisi bana..!
 
Usije ukawa ww ni cousin wangu manake mie ni mpolish,lol
Mimi nitakuwa jirani yako hapa shekoslovakia, sisi washekoslovakia tukikula nyama tunanyonyoka nywele.

Bek to Ze topik:
Mkuu kama tumbo lako limezowea maharage na haukuli nyama mpaka krismass ifike, hiyo inawezekana ni tatizo la nyama kutokuzoeleka tu ndani ya system yako ya chakula. Jaribu kuchanganya mwezi mzima ukule nyama tu halaf uone.
Adhawaizi inawezekana pia waswahili washakuloga kwakuwa unamiliki ka kilo ka nyama. Waswahili wabaya wajameni! khaaa
 
Mkuu, kama ukila mboga za aina nyingine hupati shida hiyo, shukuru Mungu maana hiyo ni bonge la bahati...utasave mahela kibao kwa kutokula hayo madude unayotamani! Haya mambo ya nyamanyama kwanza wewe siyo fisi bana..!

ukienda ugenini ni shida sana. Si unajua tena mgeni umeandaliwa KUKU au MBUZI. Then unasema situmii. Daah unawapa hard time wenjeji
 
Mimi nitakuwa jirani yako hapa shekoslovakia, sisi washekoslovakia tukikula nyama tunanyonyoka nywele.

Bek to Ze topik:
Mkuu kama tumbo lako limezowea maharage na haukuli nyama mpaka krismass ifike, hiyo inawezekana ni tatizo la nyama kutokuzoeleka tu ndani ya system yako ya chakula. Jaribu kuchanganya mwezi mzima ukule nyama tu halaf uone.
Adhawaizi inawezekana pia waswahili washakuloga kwakuwa unamiliki ka kilo ka nyama. Waswahili wabaya wajameni! khaaa

hapa home ndo mboga ya kila siku. Na nimeshajaribu mara nyingi nimeshidwa.
 
Pole Mkuu CTVKilaza!
Mshukuru Mungu kwani red meat is not good for our healthy, but we are adviced to eat fish meat na kuku wa kienyeji!
Ila pole sana kwani ni shida pia ukienda ugenini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom