Natamani kujua maisha ya marehemu Al Habib Alhaji Aziz Massanga (Zingizi)

Salaam wana jf

Natumaini wote ni wazima wa afya na poleni na majukumu ya hapa na pale. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sina budi kurudia rudia.

Mnamo 29/11/2019 huko south Africa ila jina la hospital silijui kuna mtanzania mfanyabishara mkubwa na mwanazuoni kwa jina la Alhabib alhaj Aziz Massanga alias ZINGIZI aliaga dunia,lakini akuwa maarufu kama wengine wakiwa na ukwasi.

Sikuwa namjua ila mnamo tarehe 2/12/2019 pita pita zangu mitaa ya magomeni nilionana umati wa watu wakijipanga kupeleka mwili wa MAREHEM katika makaburini ya msasani,sikuishia hapo niliingia kwenye akaunti ya Instagram ya msemaji wa simba nikaona CLIP ya umati wa watu wakilia si waarabu, si waafrika walikuwa wakilia uku wakisindikiza mwili makaburi.

Mwenye kujua maisha ya MAREHEM AL HABIB Alhaj Massanga alias ZINGIZI(mzaramo aliyeliliwa hadi na waarabu, waafrika, wahindi ni nani huyu?


Mwenyezi amuweke mahali pema peponi Mwamba ZINGIZI.

Born:1973

Died:2019



Innallihai wainallillah rajiun
Alikua tajiri asie na makuu Mwenye kuheshimu kupenda kujali na kuthamini mayatima na wahitaji

Aliwahi mjengea Nyumba jirani wa mama yake magomeni baada ya Nyumba kuungua alipofika na kuambiwa akasikitika kesho yake akaja na mafundi kwa suprise akamjengea Nyumba mpya na akannua na fenicha mpyaaaa.

Ya Pili aliwannulia Nyumba maimamu na masheikh akawa amewaweka msasani na mikocheni wakawa wanaishi na anawalipa kwa mishahara wakawa wanaishi good life

Wanalia wanawaza nani atasimamia shoo zote kirahisi hvyooo!!!wameumbuka mnoooo!!
Mimi binafsi namuombea Allah s.w ampe kitabu kwa mkono wa kulia
 
Alikua mtu sana jamaa!
Alikuwa pia akitoa misaada kwa jamii
Kuna msikiti uko nyuma ya tmj yeye aliujenga kwa Gharama zake mwenyewe, kwa kifupi jamaa hakuwa na mkono mfupi kama una line au shida ukimsemesha akikuelewa anakutoa
Kwa kifupi mm binafsi nlikuwa namjua tokea anakaa kwao msasani kitambo kile tokea anauza kwenye mgahawa wake badaye a kaingia kwenye biashara ya vipodozi Mara paap a kapiga sana Hela, alikuwa na team Ile ya kina sauli

Ova
 
Hilo jiji la Darisalama sijui kuna chocho gani hulijui
Alikuwa pia akitoa misaada kwa jamii
Kuna msikiti uko nyuma ya tmj yeye aliujenga kwa Gharama zake mwenyewe, kwa kifupi jamaa hakuwa na mkono mfupi kama una line au shida ukimsemesha akikuelewa anakutoa
Kwa kifupi mm binafsi nlikuwa namjua tokea anakaa kwao msasani kitambo kile tokea anauza kwenye mgahawa wake badaye a kaingia kwenye biashara ya vipodozi Mara paap a kapiga sana Hela, alikuwa na team Ile ya kina sauli

Ova
 
Alikua tajiri asie na makuu Mwenye kuheshimu kupenda kujali na kuthamini mayatima na wahitaji

Aliwahi mjengea Nyumba jirani wa mama yake magomeni baada ya Nyumba kuungua alipofika na kuambiwa akasikitika kesho yake akaja na mafundi kwa suprise akamjengea Nyumba mpya na akannua na fenicha mpyaaaa.

Ya Pili aliwannulia Nyumba maimamu na masheikh akawa amewaweka msasani na mikocheni wakawa wanaishi na anawalipa kwa mishahara wakawa wanaishi good life

Wanalia wanawaza nani atasimamia shoo zote kirahisi hvyooo!!!wameumbuka mnoooo!!
Mimi binafsi namuombea Allah s.w ampe kitabu kwa mkono wa kulia
Kazi yake mola haina makosa.

Jamaa alikuwa mtu mzuri sana na mnyenyekevu na asiye na makuu na nasikia kati ya maghorofa yake pale kkoo flemu za chini kawapa masheikh pia
 
Salaam wana jf

Natumaini wote ni wazima wa afya na poleni na majukumu ya hapa na pale. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sina budi kurudia rudia.

Mnamo 29/11/2019 huko south Africa ila jina la hospital silijui kuna mtanzania mfanyabishara mkubwa na mwanazuoni kwa jina la Alhabib alhaj Aziz Massanga alias ZINGIZI aliaga dunia,lakini akuwa maarufu kama wengine wakiwa na ukwasi.

Sikuwa namjua ila mnamo tarehe 2/12/2019 pita pita zangu mitaa ya magomeni nilionana umati wa watu wakijipanga kupeleka mwili wa MAREHEM katika makaburini ya msasani,sikuishia hapo niliingia kwenye akaunti ya Instagram ya msemaji wa simba nikaona CLIP ya umati wa watu wakilia si waarabu, si waafrika walikuwa wakilia uku wakisindikiza mwili makaburi.

Mwenye kujua maisha ya MAREHEM AL HABIB Alhaj Massanga alias ZINGIZI(mzaramo aliyeliliwa hadi na waarabu, waafrika, wahindi ni nani huyu?


Mwenyezi amuweke mahali pema peponi Mwamba ZINGIZI.

Born:1973

Died:2019



Innallihai wainallillah rajiun
Hebu jaribu hii
 
Kuna clip kwenye You Tube, Sheikh Abbas Ramadhan (Imam wa msikiti wa Mtoro Kariakoo) amemwelezea Alhaj Zingizi kwa jinsi alivyomfahamu (alisoma naye Madrasa), hebu jaribu kuitafuta
Nimeona umeshanitumia kumbe jamaa alikuwa mtu wa watu sana na alikuwa hana makuu kabisa.

Asante kwa clip
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Hilo jiji la Darisalama sijui kuna chocho gani hulijui
mrangi ni kichwa hasa huwa namkubali sana, kungekuwa na mapendekezo ya kuingiza watu kwenye idara fulani huyu angefaa maana Dar anaijua in and out pia na watu maarufu, majambazi, matapeli, wauza ngada na matajiri wote anawajua na hustle zao...

Ingawa naona hapa kwa huyu jamaa umeamua kuficha baadhi ya mambo, haiingii akilini mtu atoke kuuza mgahawa aibuke kuwa tajiri ghafla. Kwa namna yoyote huyu bwana alijihusisha na madawa ya kulevya au biashara nyingine iliyompa ukwasi kwa ghafla hivyo...

Huyu jamaa ni very potential maana taarifa nyingi nyeti anazo...

Salute popote ulipo...
 
mrangi ni kichwa hasa huwa namkubali sana, kungekuwa na mapendekezo ya kuingiza watu kwenye idara fulani huyu angefaa maana Dar anaijua in and out pia na watu maarufu, majambazi, matapeli, wauza ngada na matajiri wote anawajua na hustle zao...

Ingawa naona hapa kwa huyu jamaa umeamua kuficha baadhi ya mambo, haiingii akilini mtu atoke kuuza mgahawa aibuke kuwa tajiri ghafla. Kwa namna yoyote huyu bwana alijihusisha na madawa ya kulevya au biashara nyingine iliyompa ukwasi kwa ghafla hivyo...

Huyu jamaa ni very potential maana taarifa nyingi nyeti anazo...

Salute popote ulipo...
Huyu alikuwa anafanya biashara ya vipodoz
Na wakina sauli s.h amon
Walianza kitambo Sana.... Vipodoz vilikuwa vina ingiza Hela sana
Huyu jamaa Kuna wakati alitupaga connection ya kufata maziwa super milk toka Zimbabwe na kuyaleta Tanzania kuuza...... Nakumbuka hadi mtaji alitu boost wakati huo Zimbabwe oya oya

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom