misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,642
- 9,338
Salaam wana JF
Natumaini wote ni wazima wa afya na poleni na majukumu ya hapa na pale. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sina budi kurudia rudia.
Mnamo 29/11/2019 huko south Africa ila jina la hospital silijui kuna mtanzania mfanyabishara mkubwa na mwanazuoni kwa jina la Alhabib alhaj Aziz Massanga alias ZINGIZI aliaga dunia,lakini akuwa maarufu kama wengine wakiwa na ukwasi.
Sikuwa namjua ila mnamo tarehe 2/12/2019 pita pita zangu mitaa ya magomeni nilionana umati wa watu wakijipanga kupeleka mwili wa MAREHEM katika makaburini ya msasani,sikuishia hapo niliingia kwenye akaunti ya Instagram ya msemaji wa simba nikaona CLIP ya umati wa watu wakilia si waarabu, si waafrika walikuwa wakilia uku wakisindikiza mwili makaburi.
Mwenye kujua maisha ya MAREHEM AL HABIB Alhaj Massanga alias ZINGIZI(mzaramo aliyeliliwa hadi na waarabu, waafrika, wahindi ni nani huyu?
Mwenyezi amuweke mahali pema peponi Mwamba ZINGIZI.
Born:1973
Died:2019
Innallihai wainallillah rajiun
Natumaini wote ni wazima wa afya na poleni na majukumu ya hapa na pale. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza sina budi kurudia rudia.
Mnamo 29/11/2019 huko south Africa ila jina la hospital silijui kuna mtanzania mfanyabishara mkubwa na mwanazuoni kwa jina la Alhabib alhaj Aziz Massanga alias ZINGIZI aliaga dunia,lakini akuwa maarufu kama wengine wakiwa na ukwasi.
Sikuwa namjua ila mnamo tarehe 2/12/2019 pita pita zangu mitaa ya magomeni nilionana umati wa watu wakijipanga kupeleka mwili wa MAREHEM katika makaburini ya msasani,sikuishia hapo niliingia kwenye akaunti ya Instagram ya msemaji wa simba nikaona CLIP ya umati wa watu wakilia si waarabu, si waafrika walikuwa wakilia uku wakisindikiza mwili makaburi.
Mwenye kujua maisha ya MAREHEM AL HABIB Alhaj Massanga alias ZINGIZI(mzaramo aliyeliliwa hadi na waarabu, waafrika, wahindi ni nani huyu?
Mwenyezi amuweke mahali pema peponi Mwamba ZINGIZI.
Born:1973
Died:2019
Innallihai wainallillah rajiun