Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
Hata kama alikua muuza ngada lakini bado alitumia katika njia sahihi na atalipwa kwa kila alichokifanya kwa wema wake piaSawa marehemu hasemwi vibaya
Ila amini biashara yake iliyomtoa sio hiyo
Huyo alikuwa monster haswa nyuma ya pazia
Usidanganywe na kanzu
Pale magomeni kanisani alinusuruka...