Natamani dada yangu angekuwa ndio mke wangu

Natamani dada yangu angekuwa ndio mke wangu

Sjui hujamuelewa bro

Me nmehis anataman angekua na mke mweye tabia kama ya dada ake bt so kumuoa ndugu yake
Mwenye nguvu sio dada yako ni huyo mume wako.
Nadhani umenielewa.

Acha hizi dhambi
Acha kutamani mke wa mtu
Acha kutamani kulala na umbu lako
Bro jitahidi umuombee mkeo na uzidi kumfanyia yatakayombadilisha ikiwemo kumuonyesha unayoyataka kwa mifano
 
Akili kiduchu
Kubali umekosea kuwasilisha mada yako vizuri mkuu, sidhani Kama watu wote hao akili zao zimekaa kingonongono tukufikirie vibaya. Unajisikiaje kila mmoja azungumzie unataka kumla dada yako?
 
Ngoja leo niangalie Mazuzu kwa Comments zao tu...!
 
Sijui kwa nini nimekumbuka ile kauli kuwa "ukiona ndoa imedumu ujue kuna mmoja kajifanya bwege"..
Naomba niishie hapo
 
Mkuu tukianza elezea mattzo ya wake zetu apa, hum ndan patakua hapaliki!, we endelea kumvumilia maana ndo ashakua wa kwako tayari!, usijione uko mwenyew, kila mtu ana msalaba wake sema vile tu wamenyamaz tu.
 
Mkuu tukianza elezea mattzo ya wake zetu apa, hum ndan patakua hapaliki!, we endelea kumvumilia maana ndo ashakua wa kwako tayari!, usijione uko mwenyew, kila mtu ana msalaba wake sema vile tu wamenyamaz tu.
Nimekuelewa sana mkuu
 
Kubali umekosea kuwasilisha mada yako vizuri mkuu, sidhani Kama watu wote hao akili zao zimekaa kingonongono tukufikirie vibaya. Unajisikiaje kila mmoja azungumzie unataka kumla dada yako?
Umeona comment zao hao wanaosema upuuzi zingine unazivalia miwani ya mbao
 
Huenda ni mkuyenge 6 *6 anaoupata dada yako ndio umemfanya amheshimu shem
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2] eti kujivundika kwani amekuwa ndizi za bukoba?
Duh! Mbona sielewi namna ya kumtamani dadaako wa kuzaliwa! By the way, wiki nzima umejivundika alikoolewa dadaako, we mwanaume wa wapi wewe? Yamkini ni hizi tabia zako ndio zinamkera mkeo...toka hapo rudi nyumbani kwako
 
Na je wewe una Watoto nae wangapi huyo Mkeo?
 
Nna kisa kimoja kuna Dada my workment aliniomba nikamchukue kakaake anaumwa sana, kweli jamaa alikuwa kazidiwa sana hata kwenye gari kukaa hakuweza ilibidi nimlaze tu, nafikanae hospitali mkewe alikuwepo nakumbuka simu ya jamaa ikaita ile jamaa anajikokota kuongea na simu yule mwanamke alimnyang'anya na kumporomoshea maneno ya hovyo sana kiufupi jamaa alinyanyapaliwa sana na mkewe tena mbele yangu, ghafla dadaake alifika pale treatment aliopewa mgonjwa ni nzuri hata uso wa mgonjwa ulianza kuleta matumaini, nikajiuliza moyoni mwake anajutia kiasi gani kuwa na mwanamke aliena!!
Yalionyuma huwezi yajua nyumba zina siri kama peponi hakuna akujuaye, usione kuta hizi zina siri kubwa mno
 
Nna kisa kimoja kuna Dada my workment aliniomba nikamchukue kakaake anaumwa sana, kweli jamaa alikuwa kazidiwa sana hata kwenye gari kukaa hakuweza ilibidi nimlaze tu, nafikanae hospitali mkewe alikuwepo nakumbuka simu ya jamaa ikaita ile jamaa anajikokota kuongea na simu yule mwanamke alimnyang'anya na kumporomoshea maneno ya hovyo sana kiufupi jamaa alinyanyapaliwa sana na mkewe tena mbele yangu, ghafla dadaake alifika pale treatment aliopewa mgonjwa ni nzuri hata uso wa mgonjwa ulianza kuleta matumaini, nikajiuliza moyoni mwake anajutia kiasi gani kuwa na mwanamke aliena!!
Je kama kuumwa kwake alidundwa huko baada ya kufumaniwa?
 
By the way yeye katamani tabia ya utii na heshima aliyonayo dada yake kwa mumewe hivyo anaona kama kwa mkewe kunapungua vitu vingi kiasi cha kujuta rohoni mwake. Lakini ndugu mtoa hoja lazima utambue hili, mwamke kumfanya aishi utakavyo yahitaji muda wakutosha na si ubabe uta fail.
 
Back
Top Bottom