Mwadunda
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,058
- 1,776
Nna kisa kimoja kuna Dada my workment aliniomba nikamchukue kakaake anaumwa sana, kweli jamaa alikuwa kazidiwa sana hata kwenye gari kukaa hakuweza ilibidi nimlaze tu, nafikanae hospitali mkewe alikuwepo nakumbuka simu ya jamaa ikaita ile jamaa anajikokota kuongea na simu yule mwanamke alimnyang'anya na kumporomoshea maneno ya hovyo sana kiufupi jamaa alinyanyapaliwa sana na mkewe tena mbele yangu, ghafla dadaake alifika pale treatment aliopewa mgonjwa ni nzuri hata uso wa mgonjwa ulianza kuleta matumaini, nikajiuliza moyoni mwake anajutia kiasi gani kuwa na mwanamke aliena!!