Natamani dada yangu angekuwa ndio mke wangu

Natamani dada yangu angekuwa ndio mke wangu

Nna kisa kimoja kuna Dada my workment aliniomba nikamchukue kakaake anaumwa sana, kweli jamaa alikuwa kazidiwa sana hata kwenye gari kukaa hakuweza ilibidi nimlaze tu, nafikanae hospitali mkewe alikuwepo nakumbuka simu ya jamaa ikaita ile jamaa anajikokota kuongea na simu yule mwanamke alimnyang'anya na kumporomoshea maneno ya hovyo sana kiufupi jamaa alinyanyapaliwa sana na mkewe tena mbele yangu, ghafla dadaake alifika pale treatment aliopewa mgonjwa ni nzuri hata uso wa mgonjwa ulianza kuleta matumaini, nikajiuliza moyoni mwake anajutia kiasi gani kuwa na mwanamke aliena!!
 
Vipi mkuu huna mdogo wako/Dada yako mwingine wakike unipigie pande niwe shemej yako
 
Kwanini haukuandika ....mke kama alivyo dada yako....? Ya kutamani hiyo...mmmmmh tubu
 
Pole mwaya, pambana na hali yko.
Waswahili wanasema "maisha ni kuchagua na kuvchagua ni kupanga"

Kila LA kher mkui
 
Nna kisa kimoja kuna Dada my workment aliniomba nikamchukue kakaake anaumwa sana, kweli jamaa alikuwa kazidiwa sana hata kwenye gari kukaa hakuweza ilibidi nimlaze tu, nafikanae hospitali mkewe alikuwepo nakumbuka simu ya jamaa ikaita ile jamaa anajikokota kuongea na simu yule mwanamke alimnyang'anya na kumporomoshea maneno ya hovyo sana kiufupi jamaa alinyanyapaliwa sana na mkewe tena mbele yangu, ghafla dadaake alifika pale treatment aliopewa mgonjwa ni nzuri hata uso wa mgonjwa ulianza kuleta matumaini, nikajiuliza moyoni mwake anajutia kiasi gani kuwa na mwanamke aliena!!
Asante kwa ushuhuda mzuri,Sasa fikiria mtu kama huyo je hakutamani awe na mke Kama dada yake
 
Mambo ya ndani ya ndoa ni mengi mkuu....inawezekana yale mambo ya ndani shemeji ana 'overperform'
 
Nna kisa kimoja kuna Dada my workment aliniomba nikamchukue kakaake anaumwa sana, kweli jamaa alikuwa kazidiwa sana hata kwenye gari kukaa hakuweza ilibidi nimlaze tu, nafikanae hospitali mkewe alikuwepo nakumbuka simu ya jamaa ikaita ile jamaa anajikokota kuongea na simu yule mwanamke alimnyang'anya na kumporomoshea maneno ya hovyo sana kiufupi jamaa alinyanyapaliwa sana na mkewe tena mbele yangu, ghafla dadaake alifika pale treatment aliopewa mgonjwa ni nzuri hata uso wa mgonjwa ulianza kuleta matumaini, nikajiuliza moyoni mwake anajutia kiasi gani kuwa na mwanamke aliena!!
Kwa mpango huu kwanini usitamani dada yako angekuwa mkeo
 
Asee mr. ukikutana na mwanamke akakupenda ki ukweli from deep inside..Anaweza kukufanyia zaidi ya hayo uliyoyaona kwa dada ako.
 
Mwenye nguvu sio dada yako ni huyo mume wako.
Nadhani umenielewa.

Acha hizi dhambi
Acha kutamani mke wa mtu
Acha kutamani kulala na umbu lako
Ni dhambi kutamana kutamani tabia njema ya dada au mke wa mwenzio?
 
Umemtamani hadi dada yako angekua mkeo we kweli hamnazo, sema nini usije ukaanza kukorofisha ndoa ya dada yako maana kuna kila dalili ...unamuonea wivu shemeji yako kupewa pesa kesho utamwambia dada yako achana na huyu jamaa ...na matatizo ya ndugu huwa ni moja tu wakija kukutembelea huwa kazi yao ni kutibua tu
Kama huo ndio mtazamo wako uko sahihi
 
Back
Top Bottom