Nataka niwashtaki Halotel

Nataka niwashtaki Halotel

naunga mkono hoja...washtakiwe tu,maana hakuna namna nyingine
Kwa kuwa hii tabia ya makampuni ya simu kutuibia kwa kufanya ulaghai imezidi huku mamlaka husika zikiwa kimya kama hazina kazi (TCRA ni jipu watumbuliwe tuu maana hakuna namna ) sasa naamini ni muda muafaka wa kampuni moja kuonyeshwa mfano..

Nianze na hawa halotel ambao wanasifika kwa mtandao mzuri na kweli wana net ya ukweli, wana bundle lao ambalo wanaliita la spidi bila kikomo(800mb kwa buku), nadhani watu wote tunaelewa maana ya neno bila kikomo..

Nimenunua hili Bundle nikadownload kama application 2 wakantumia message kuwa kwamba nimefika kiwango cha mwisho cha spidi hivyo .. yaani application 2 tu... nikaanza kujiuliza maana ya neno spidi bila kikomo ni nini na kwanini walisema ni spidi bila kikomo. najaribu kufikiria wakifanyia watu 100000 kila siku kama hivyo wanapata bei gani kwa ulaghai huu..

Hapo sijataja wizi wa vocha umeweka unakuta imekatwa wamekuunga wenyewe na huduma wanazo jua wao (kama Tigo ndo maexpert wa hii kitu)...

Nimekuja kupata hitimisho kuwa haya makampuni yote ya simu yapo kifaida zaidi kiasi kwamba hawajali kabisa huduma wanazotoa..

Hakuna wa afadhali ila ntaanza na nyie halotel maana mmekuja juzijuzi tuu mshaanza kujifunza umafia , mkifikisha miaka 10 si mtaua watu.
 
Hawa jamaa wezi kweli, halafu hizo 800MB hazifiki. ukidownload 200MB tu wanasema umefika kikomo. TCRA sijui wanafanya kazi gani??
 
Mimi mtandao ninaoutumia kudownload ni hallotel hawa jamaa ki ukweli wapo vizuri hayo mnayosema mimi hayajawai kunitokea
 
Mleta mada, kwanza tofautisha speed na data (MB/GB), MB wamesema kabisa n 800mb, speed kwel haina kikomo, tatu ni kuwa baada ya mb800 kuisha ntaendelea kutumia net ila kwa speed ndogo, hata voda na tigo ni hivyo hivyo, haya makampuni ni wezi kwel lakini uzuri wanaibia wajinga wagumu kuelewa
 
Kwa kuwa hii tabia ya makampuni ya simu kutuibia kwa kufanya ulaghai imezidi huku mamlaka husika zikiwa kimya kama hazina kazi (TCRA ni jipu watumbuliwe tuu maana hakuna namna ) sasa naamini ni muda muafaka wa kampuni moja kuonyeshwa mfano..

Nianze na hawa halotel ambao wanasifika kwa mtandao mzuri na kweli wana net ya ukweli, wana bundle lao ambalo wanaliita la spidi bila kikomo(800mb kwa buku), nadhani watu wote tunaelewa maana ya neno bila kikomo..

Nimenunua hili Bundle nikadownload kama application 2 wakantumia message kuwa kwamba nimefika kiwango cha mwisho cha spidi hivyo .. yaani application 2 tu... nikaanza kujiuliza maana ya neno spidi bila kikomo ni nini na kwanini walisema ni spidi bila kikomo. najaribu kufikiria wakifanyia watu 100000 kila siku kama hivyo wanapata bei gani kwa ulaghai huu..

Hapo sijataja wizi wa vocha umeweka unakuta imekatwa wamekuunga wenyewe na huduma wanazo jua wao (kama Tigo ndo maexpert wa hii kitu)...

Nimekuja kupata hitimisho kuwa haya makampuni yote ya simu yapo kifaida zaidi kiasi kwamba hawajali kabisa huduma wanazotoa..

Hakuna wa afadhali ila ntaanza na nyie halotel maana mmekuja juzijuzi tuu mshaanza kujifunza umafia , mkifikisha miaka 10 si mtaua watu.
Yani halotel wanaimba kweli
 
Umekurupuka nikwamba spidi kali mpaka mb 800 baada ya hapo ni spid yakawaida
 
Ni speed bila kikomo sio data bila kikomo...kawashitaki halafu uwalipe kwa usumbufu...
 
Kwa kuwa hii tabia ya makampuni ya simu kutuibia kwa kufanya ulaghai imezidi huku mamlaka husika zikiwa kimya kama hazina kazi (TCRA ni jipu watumbuliwe tuu maana hakuna namna ) sasa naamini ni muda muafaka wa kampuni moja kuonyeshwa mfano..

Nianze na hawa halotel ambao wanasifika kwa mtandao mzuri na kweli wana net ya ukweli, wana bundle lao ambalo wanaliita la spidi bila kikomo(800mb kwa buku), nadhani watu wote tunaelewa maana ya neno bila kikomo..

Nimenunua hili Bundle nikadownload kama application 2 wakantumia message kuwa kwamba nimefika kiwango cha mwisho cha spidi hivyo .. yaani application 2 tu... nikaanza kujiuliza maana ya neno spidi bila kikomo ni nini na kwanini walisema ni spidi bila kikomo. najaribu kufikiria wakifanyia watu 100000 kila siku kama hivyo wanapata bei gani kwa ulaghai huu..

Hapo sijataja wizi wa vocha umeweka unakuta imekatwa wamekuunga wenyewe na huduma wanazo jua wao (kama Tigo ndo maexpert wa hii kitu)...

Nimekuja kupata hitimisho kuwa haya makampuni yote ya simu yapo kifaida zaidi kiasi kwamba hawajali kabisa huduma wanazotoa..

Hakuna wa afadhali ila ntaanza na nyie halotel maana mmekuja juzijuzi tuu mshaanza kujifunza umafia , mkifikisha miaka 10 si mtaua watu.
Lakini inategemea na applications hizo mbili zilikuwa na ukubwa gani, kama zilikuwa na 800mb, basi ni sawa kwamba ulimaliza bundle yako na hivyo hutakuwa connected. Na ukiwa hujaunganishwa speed bila kikomo haiwezekani.
 
Halotel niwezi kweli kabisa nilisajili laini yao SBB ya hizo bado kuniibia nimesha ivunjavunja laini hats namba siikumbuki tens,nilijiunga na Kifurushi cha bila kikomo nikawa naangalia mieleka yenye crop za DKK 5 kama NNE hivi wakanitumia msg kuwa Kifurushi changu kimeisha,nikaunga kingine napo wakanipiga ndipo nilipo amua kuvunja laini,hamia Airtel 1000 unapewa jb 1 tenaunatumia na inaisha kwa halali kabisa kama ulivyo tumia
 
wamekwambia ni unlimited speed sio unlimited data
Mtoa Uzi Alivyojiunga na hicho kifurushi hakujua maana ya Unlimited Speed na Unlimited data na wala hakusoma Vigezo na masharti
 
Halotel wako vizuri sijajuta kununua laini ya Halotel. Huwa naacha salio hata wiki nalikuta ingekuwa airtel thubutu uone. Airtel yangu ..06 nimeitupa kisa kula salio langu kila siku/wiki
 
Bundle ya 800 unaenda kufungua kesi ? Baadae mwenyewe utaifuta hiyo kesi
 
Ipo hivi sijawahi kuliona hilo tatizo la application mbili bando liishe mimi ni muathirika wa seasoni na huwa natumia halotel kudownload na huwa wakituma msg nitaendelea mpaka kesho muda nilio jiunga speed tu inapungua ambapo tofauti yake ni mpaka uwe mtaalamu sana ndiyo ujue speed imepungua.....ila na kushauri chukua halotel line ya chuo 9999 7GB mwezi mzima
Hiyo line naitafuta. Ntaipataje?
 
Back
Top Bottom