nakumbuka hiyo kauli, pia kwa msisitizo mzee wa wapigwe tuu alisema smart phone zap zitauzwa kwa elfu sitini....Rais mstaafu alisema hao Halotel Viettel watatoa smartphone bure
nakumbuka hiyo kauli, pia kwa msisitizo mzee wa wapigwe tuu alisema smart phone zap zitauzwa kwa elfu sitini....Rais mstaafu alisema hao Halotel Viettel watatoa smartphone bure
Kwa kuwa hii tabia ya makampuni ya simu kutuibia kwa kufanya ulaghai imezidi huku mamlaka husika zikiwa kimya kama hazina kazi (TCRA ni jipu watumbuliwe tuu maana hakuna namna ) sasa naamini ni muda muafaka wa kampuni moja kuonyeshwa mfano..
Nianze na hawa halotel ambao wanasifika kwa mtandao mzuri na kweli wana net ya ukweli, wana bundle lao ambalo wanaliita la spidi bila kikomo(800mb kwa buku), nadhani watu wote tunaelewa maana ya neno bila kikomo..
Nimenunua hili Bundle nikadownload kama application 2 wakantumia message kuwa kwamba nimefika kiwango cha mwisho cha spidi hivyo .. yaani application 2 tu... nikaanza kujiuliza maana ya neno spidi bila kikomo ni nini na kwanini walisema ni spidi bila kikomo. najaribu kufikiria wakifanyia watu 100000 kila siku kama hivyo wanapata bei gani kwa ulaghai huu..
Hapo sijataja wizi wa vocha umeweka unakuta imekatwa wamekuunga wenyewe na huduma wanazo jua wao (kama Tigo ndo maexpert wa hii kitu)...
Nimekuja kupata hitimisho kuwa haya makampuni yote ya simu yapo kifaida zaidi kiasi kwamba hawajali kabisa huduma wanazotoa..
Hakuna wa afadhali ila ntaanza na nyie halotel maana mmekuja juzijuzi tuu mshaanza kujifunza umafia , mkifikisha miaka 10 si mtaua watu.
Yani halotel wanaimba kweliKwa kuwa hii tabia ya makampuni ya simu kutuibia kwa kufanya ulaghai imezidi huku mamlaka husika zikiwa kimya kama hazina kazi (TCRA ni jipu watumbuliwe tuu maana hakuna namna ) sasa naamini ni muda muafaka wa kampuni moja kuonyeshwa mfano..
Nianze na hawa halotel ambao wanasifika kwa mtandao mzuri na kweli wana net ya ukweli, wana bundle lao ambalo wanaliita la spidi bila kikomo(800mb kwa buku), nadhani watu wote tunaelewa maana ya neno bila kikomo..
Nimenunua hili Bundle nikadownload kama application 2 wakantumia message kuwa kwamba nimefika kiwango cha mwisho cha spidi hivyo .. yaani application 2 tu... nikaanza kujiuliza maana ya neno spidi bila kikomo ni nini na kwanini walisema ni spidi bila kikomo. najaribu kufikiria wakifanyia watu 100000 kila siku kama hivyo wanapata bei gani kwa ulaghai huu..
Hapo sijataja wizi wa vocha umeweka unakuta imekatwa wamekuunga wenyewe na huduma wanazo jua wao (kama Tigo ndo maexpert wa hii kitu)...
Nimekuja kupata hitimisho kuwa haya makampuni yote ya simu yapo kifaida zaidi kiasi kwamba hawajali kabisa huduma wanazotoa..
Hakuna wa afadhali ila ntaanza na nyie halotel maana mmekuja juzijuzi tuu mshaanza kujifunza umafia , mkifikisha miaka 10 si mtaua watu.
Lakini inategemea na applications hizo mbili zilikuwa na ukubwa gani, kama zilikuwa na 800mb, basi ni sawa kwamba ulimaliza bundle yako na hivyo hutakuwa connected. Na ukiwa hujaunganishwa speed bila kikomo haiwezekani.Kwa kuwa hii tabia ya makampuni ya simu kutuibia kwa kufanya ulaghai imezidi huku mamlaka husika zikiwa kimya kama hazina kazi (TCRA ni jipu watumbuliwe tuu maana hakuna namna ) sasa naamini ni muda muafaka wa kampuni moja kuonyeshwa mfano..
Nianze na hawa halotel ambao wanasifika kwa mtandao mzuri na kweli wana net ya ukweli, wana bundle lao ambalo wanaliita la spidi bila kikomo(800mb kwa buku), nadhani watu wote tunaelewa maana ya neno bila kikomo..
Nimenunua hili Bundle nikadownload kama application 2 wakantumia message kuwa kwamba nimefika kiwango cha mwisho cha spidi hivyo .. yaani application 2 tu... nikaanza kujiuliza maana ya neno spidi bila kikomo ni nini na kwanini walisema ni spidi bila kikomo. najaribu kufikiria wakifanyia watu 100000 kila siku kama hivyo wanapata bei gani kwa ulaghai huu..
Hapo sijataja wizi wa vocha umeweka unakuta imekatwa wamekuunga wenyewe na huduma wanazo jua wao (kama Tigo ndo maexpert wa hii kitu)...
Nimekuja kupata hitimisho kuwa haya makampuni yote ya simu yapo kifaida zaidi kiasi kwamba hawajali kabisa huduma wanazotoa..
Hakuna wa afadhali ila ntaanza na nyie halotel maana mmekuja juzijuzi tuu mshaanza kujifunza umafia , mkifikisha miaka 10 si mtaua watu.
Mtoa Uzi Alivyojiunga na hicho kifurushi hakujua maana ya Unlimited Speed na Unlimited data na wala hakusoma Vigezo na mashartiwamekwambia ni unlimited speed sio unlimited data
Hiyo line naitafuta. Ntaipataje?Ipo hivi sijawahi kuliona hilo tatizo la application mbili bando liishe mimi ni muathirika wa seasoni na huwa natumia halotel kudownload na huwa wakituma msg nitaendelea mpaka kesho muda nilio jiunga speed tu inapungua ambapo tofauti yake ni mpaka uwe mtaalamu sana ndiyo ujue speed imepungua.....ila na kushauri chukua halotel line ya chuo 9999 7GB mwezi mzima