Dah aise!Wewe kama ni mjanja mama mkwe mhamishie kwako, ikija laki ni mnagawana humohumo ila haikisha mlo wa mama mkwe unakuwa bora zaidi
Huyu mwanaume mwenzangu tumeoa sehemu moja.
Yeye akifika kwa mama mkwe anatoa laki moja na kuendelea, halafu mimi ni kumi, ishirini ikizidi hamsini.
Sasa nimeamua kushindana naye ili kuweka heshima.
Nina uhakika utashindwa kwa KO kweny iyo vita yako lakn kila la heli uje utupe mrejesho piaHuyu mwanaume mwenzangu tumeoa sehemu moja.
Yeye akifika kwa mama mkwe anatoa laki moja na kuendelea, halafu mimi ni kumi, ishirini ikizidi hamsini.
Sasa nimeamua kushindana naye ili kuweka heshima.