Nataka nishindane na mume mwenzangu ukweni

haszu

JF-Expert Member
Oct 10, 2017
837
1,550
Huyu mwanaume mwenzangu tumeoa sehemu moja.

Yeye akifika kwa mama mkwe anatoa laki moja na kuendelea, halafu mimi ni kumi, ishirini ikizidi hamsini.

Sasa nimeamua kushindana naye ili kuweka heshima.
 
Ushindane uliambiwa kuna mashindano ya kugawa pesa kwa mama wakwe? Fanya kwa uwezo wako muhimu andaa future ya familia yako kwani siku ukitetereka siyo mama mkwe sometimes hata huyo mwanae unaeishi naye atakaekuthamini.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Huyu mwanaume mwenzangu tumeoa sehemu moja.

Yeye akifika kwa mama mkwe anatoa laki moja na kuendelea, halafu mimi ni kumi, ishirini ikizidi hamsini.

Sasa nimeamua kushindana naye ili kuweka heshima.
Nina uhakika utashindwa kwa KO kweny iyo vita yako lakn kila la heli uje utupe mrejesho pia
 
ukiwekeza ukweni matokeo yake ni majuto siku ndoa ikichacha, pia hakuna utakachovuna zaidi ya sifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom