Nataka ninunue smartphone

Nataka ninunue smartphone

Tecno siyo simu bali ni mfano wa simu,sumsung ni simu,hivyo huwezi linganisha tecno na samsung hata kidogo
Si kweli mkuu,ni mtazamo tu.Mimi ninayo Techno W4 naitumia mwaka wa nne mzima huu sasa,wala haina shida yeyote.
 
Samsung tatizo lao liko kwenye btriii, yaani betrii zao hazidumu kivile

Huwez fananisha chip ya mtk Na sdp.
Tecno ni mtk ufanis mdogo ila haili moto
Sams Mara nying ana sdn ufanisi mkubwa na moto anakula
 
Mimi niko data on muda wote lakini inakaa hadi masaa kami na tano. Tecno naikubali sana.
 
Ni ufinyu wa badget tuu....ila TECNO sio simu kwa watu wanaotegemea internet kuendeshea maisha yao kama mimi....simu gan ina stack kila mara, ukiweka mfukon unakuta imebadil majina kwenye phonebook, imewasha tochi, na data zpo on...kama matumizi yako ni mitandao ya kijamii na kupiga picha tuu bas nunua TECNO ila zaid ya hapo simu ni Iphone umeteleza nunua Samsang....bora hata Huawei
 
Back
Top Bottom