Tish
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 360
- 209
Inategemea unataka nini kwanza tuanzie hapo alafu nitatoa mawazo.Unataka tecno ipi na Samsung ipi matoleo ni mengi.Hivi kati ya tecno na Samsung ipi nzuri!!?
Inategemea unataka nini kwanza tuanzie hapo alafu nitatoa mawazo.Unataka tecno ipi na Samsung ipi matoleo ni mengi.Hivi kati ya tecno na Samsung ipi nzuri!!?
Ni kweli achukue hizi za 2018 zote ziko vizuri kwanzia muonekano display battery life na features nyingi.Sijui uwezo wa betri mnalinganishaje, mimi ninaona Samsung kwa sasa wameboresha mfumo wa betri, cha msingi nunua original.
Kwa mfano, kama ni mtu wa kuchati kwa kadiri, yani unaingia na kutoka, unaweza kushinda kutwa nzima hujaichaji simu.Ninajua kuwa kuna simu zina uwezo zaidi ya huu, lakini kwa simu janja nyingi, kushinda kutwa nzima hujachaji ni uwezo mkubwa pia.
Mbona zipo samsung za bei hiyo pia inategemea nini anataka kwenye simu na ingekuwa vizuri angesema anataka aina ipi ya tecno au samsung ili tumshauri.Swali lake limelenga ki ujumla kati ya kampuni na kampuni always aliyetangulia kwenye industry atakuwa yuko vizuri.Kama una hela samsung ni nzuri kama huna hela na budget yako ni kama laki 2 au 3 tecno ni simu nzuri sana
Hizi simu zenye neno pro mwishoni ni habari nyingine, natumia j7 pro.True mkuu. Mm natumia samsung galaxy grand prime pro. Inakaa na chaji siku mbili hapo napiga muziki. Nachat watsap na meseji za kawaida. Cm yangu ni orijino imetoka 2018
Yaah kampuni inakuwa imezipa kipaombele grand prime pro itapokea Oreo update pia j7 pro nahisi ishapata android 8Hizi simu zenye neno pro mwishoni ni habari nyingine, natumia j7 pro.
yap zapokea yangu imepokea 8.0 grand primeYaah kampuni inakuwa imezipa kipaombele grand prime pro itapokea Oreo update pia j7 pro nahisi ishapata android 8
Ni kwel na j7 prime kwenye betri iko vizuriimeboreshwa aAisee hasa hzi series za j1 j2 j5 j6 j7 betri iko poa sana
Ni spelling mistake tuTechno? Kama imeandikwa hivyo basi ni feki hiyo
Kama ilivyo Sansun
Tecno comon i twin ina Snapdragon chipsetHuwez fananisha chip ya mtk Na sdp.
Tecno ni mtk ufanis mdogo ila haili moto
Sams Mara nying ana sdn ufanisi mkubwa na moto anakula
Ni simu nzuri mbona ipo options pale ku tumia wifi only or mobile data kwa kuwa wifi mpaka uwe eneo linalokamata hotspot chagua mobile data uwe na bando kama gb 1 au 2 haizidi hapo kwa new android visionMimi natumia toleo la nyuma kidogo galaxy S7, haisumbui battery kwakweli.Nikiwa sijakomaa nayo kiviiile kupakua na kutuma mipicha au video inashinda kutwa nzima.
Changamoto ni kwenye ku-update software ya simu yenyewe, eti mpaka wifi.Apps hazina tatizo, unaupdate kwa data ya mtandao wako tu.Hiyo update ya simu ndo mpaka upate mtandao nje ya simu.Inanikera sana ukizingatia bongo wifi ni kama Tanzanite.Labda utumie mtandao wa simu nyingine tu.
Acha uongo weweMimi niko data on muda wote lakini inakaa hadi masaa kami na tano. Tecno naikubali sana.
Unataka kumaanisha iphone na samsung au.Makampuni yaliyobaki ya simu hapa duniani ni mawili tu.
Ni simu nzuri mbona ipo options pale ku tumia wifi only or mobile data kwa kuwa wifi mpaka uwe eneo linalokamata hotspot chagua mobile data uwe na bando kama gb 1 au 2 haizidi hapo kwa new android vision
Techno? Kama imeandikwa hivyo basi ni feki hiyo
Kama ilivyo Sansun

Kweli kabisaimeboreshwa aAisee hasa hzi series za j1 j2 j5 j6 j7 betri iko poa sana