desree
Senior Member
- Nov 8, 2018
- 196
- 373
Mm nimekaa na nokia E5 toka 2012 mbk mwaka huu mkuu,kwahiyo hata usishangaemiaka 4 unatumia simu ile ile haianguki chini? hawaibi? Kweli we ni shujaa!
Mm nimekaa na nokia E5 toka 2012 mbk mwaka huu mkuu,kwahiyo hata usishangaemiaka 4 unatumia simu ile ile haianguki chini? hawaibi? Kweli we ni shujaa!
Makampuni yaliyobaki ya simu hapa duniani ni mawili tu.
Umenena vema mkuu, mimi na Samsung yangu nakaa siku nzima sijagusa charger kabisa! Tena kama najua niendako sina access ya umeme, naweka power saving mode, hapo hata siku mbili au tatu inakaa.Sijui uwezo wa betri mnalinganishaje, mimi ninaona Samsung kwa sasa wameboresha mfumo wa betri, cha msingi nunua original.
Kwa mfano, kama ni mtu wa kuchati kwa kadiri, yani unaingia na kutoka, unaweza kushinda kutwa nzima hujaichaji simu.Ninajua kuwa kuna simu zina uwezo zaidi ya huu, lakini kwa simu janja nyingi, kushinda kutwa nzima hujachaji ni uwezo mkubwa pia.
Ina tochi kwa mwanga bora, ina games hasa lile la nyoka. sumsung is betterNi kweli ni nzuri,lakini sasa mbona shida sio kupiga simu tu?
Yeah.Baadhi ya changamoto hutokana na watumiaji wenyewe.Baadhi yetu hatujui a wala be, mradi tumenunua simu ya hela nyingi baaasi inatosha.Hujui lolote kuhusu kutunza chaji wala mambo matamu ya kuenjoy kwenye simu.Umenena vema mkuu, mimi na Samsung yangu nakaa siku nzima sijagusa charger kabisa! Tena kama najua niendako sina access ya umeme, naweka power saving mode, hapo hata siku mbili au tatu inakaa.
Cha msingi hakikisha vitu hivi viko off kama hauvitumii:
1. Data
2. Bluetooth
3. Location
Pia jitahidi kuchaji simu yako mpaka ijae vizuri na sio nusu nusu.
Ukifanya hivyo hakika hutajutia kuwa na simu yako, mie simu yangu ni mwaka wa pili na betri iko vizuri kabisa.
Haya bwana, it all depends on your interests.Mimi huwa napenda sana kusoma,kwa hiyo Nokia ya tochi kwa vile haina mtandao, hainifai,pamoja na uimara wake.Ina tochi kwa mwanga bora, ina games hasa lile la nyoka. sumsung is better
Huyo atakuwa wakala wa mpesa,tigopesa, n.k. kwake mradi anatoa hela na kuangalia salio tuNi kweli ni nzuri,lakini sasa mbona shida sio kupiga simu tu?
Acha tucheke tu mkuu![]()
![]()
Ina maana nimekuwa kituko.
Inaelekea.Huyo atakuwa wakala wa mpesa,tigopesa, n.k. kwake mradi anatoa hela na kuangalia salio tu
Kwa bajeti ndogo Nunua tecno wherevaaaaa..Hivi kati ya tecno na Samsung ipi nzuri!!?
Samsung wana processor kubwa, memory kubwa, modem kubwa. Hiv lazima vitumie battery sana.Samsung tatizo lao liko kwenye btriii, yaani betrii zao hazidumu kivile
Hili nalo nenoTecno ni nzuri kuliko Samsung maana ikipotea hautakuwa na mawazo kama aliyepoteza Samsung.
Techno? Kama imeandikwa hivyo basi ni feki hiyoSamsung ni bora kwa kiasi fulani,ila ni ghali.Kama una hela zisizo na kazi,hasa ukizingatia kwamba vyuma vimekaza,nunua Samsung.Ila kama ni mtu unaejali pesa,nunua Techno.Ni nzuri tu,mimi ninayo Techno W4 sasa mwaka karibu wa nne huu, inadunda tu.
Yawezekana matoleo ya zamani kidogo hizi za 2017-2018 na zitazokuja usitegemee tatizo la battery unaweza kuta ina mah 2600 lakini inazidi yenye mah 4000 nime experience hiloSamsung tatizo lao liko kwenye btriii, yaani betrii zao hazidumu kivile
True mkuu. Mm natumia samsung galaxy grand prime pro. Inakaa na chaji siku mbili hapo napiga muziki. Nachat watsap na meseji za kawaida. Cm yangu ni orijino imetoka 2018Sijui uwezo wa betri mnalinganishaje, mimi ninaona Samsung kwa sasa wameboresha mfumo wa betri, cha msingi nunua original.
Kwa mfano, kama ni mtu wa kuchati kwa kadiri, yani unaingia na kutoka, unaweza kushinda kutwa nzima hujaichaji simu.Ninajua kuwa kuna simu zina uwezo zaidi ya huu, lakini kwa simu janja nyingi, kushinda kutwa nzima hujachaji ni uwezo mkubwa pia.