Nataka nimwache, ana kifua cha flat screen

Nataka nimwache, ana kifua cha flat screen

Kayapige sindano kwa mchina, au mtafute maimatha atarudisha kitu zitakua kama maboga sweet and nasty
 
mh mimi bado mgeni kwenye mambo hayo ila kikubwa uache kuongozwa na tamaa za mwili wewe ulimtamani hukumpenda
 
"...The only people who find what they are looking for in life are the fault finders..."
 
Wakati namtongoza nilivutiwa na sura yake nzuri lakini kwa kweli kuna jambo moja naliona kama haliko perfect kabisa.Ni binti wa miaka 24, tatizo lake ana matiti madogo yaani sijui ni ugonjwa au ni mambo ya gene heritage.

Nikiwa naye kwenye faragha najikakamua kiutu uzima tu ila nashindwa kuenjoy mapambo halisi ya kifuani.

Wakuu hali ya binti kuwa na matiti madogo ni ugonjwa au husababishwa na nini?




Wakati namtongoza nilivutiwa na sura yake nzuri lakini kwa kweli kuna jambo moja naliona kama haliko perfect kabisa.Ni binti wa miaka 24, tatizo lake ana matiti madogo yaani sijui ni ugonjwa au ni mambo ya gene heritage.

Nikiwa naye kwenye faragha najikakamua kiutu uzima tu ila nashindwa kuenjoy mapambo halisi ya kifuani.

Wakuu hali ya binti kuwa na matiti madogo ni ugonjwa au husababishwa na nini?

Npe no. yake nmwelekeze sehem wanayofanya matiti yanakuw makubwa!
 
Matiti jombaa ni tunda la msimu kwahiyo usitumie matiti kuwa decision criteria unless kama lengo lako ni kuchapa na kuacha! Look, matiti mengi yaliyo mazuri ndiyo yanakuaga mabaya mwanamke anapojifungua! Sasa kama hiyo ilikuwa ndo decision criteria yako si utaanza kumchukia? Halafu wanawake wenyewe wanaona sifa watu kudata na matiti yao... mwanamke mwenye ubongo ulio-settle lazima awe cautious na mwanaume aliyemfuata kwa ajili ya matiti yake ndo maana mkitandikwa ujauzito tu na kuleta kiumbe duniani; taratiiiiibu unakuta mtu anaanza ku-lose interest cuz' alipenda tunda la msimu mmoja ambalo likishadondoka mtini; labda kwa msaada wa Kichina!
 
Maskini akipata.... Ulia mbwataa muache ujuwe waume wenzio.
 
Kwanza jiulize unataka nini kwa mwanamke kabla hujaanza kumfata... yani unataka kusema macho yako yaliona sura hayo mengine hukuona? kumbuka wewe pia huenda una kitu kimoja mwenzioo hakipendi ila anakustahmilia na huenda nikikubwa
sanaaaaaaaaaaaaaaa ..
Nimependa ulivo comment maana hawa watu hujiona kana kwamba wao wapo perfect
 
Kisayansi mabinti wa namna hiyo ni wale ambao walikuwa wanapata degedege utotoni,,na au ukubwani atakuwa na leprosy
 
Kwanza jiulize unataka nini kwa mwanamke kabla hujaanza kumfata... yani unataka kusema macho yako yaliona sura hayo mengine hukuona? kumbuka wewe pia huenda una kitu kimoja mwenzioo hakipendi ila anakustahmilia na huenda nikikubwa
sanaaaaaaaaaaaaaaa ..
Hapo umenena,maana mshedede ukiwa mkubwa sana na yeye anaweza akakuvumilia tu.
 
Mbona mchina amerahisisha hii kitu? Unaenda anakuonyesha size unayotaka anakupa dozi.
 
Sifa mojawapo chuchu ama matiti ya wanawake ni kuongezeka size kwa kadiri yanavyoshikwa shikwa na mwanaume...So mkuu kazana na kukamata hotel ya mtoto hiyo kwa kasi hadi ma-hormones yahamie huko kiti kitakuwa kwa kasi mbaya..
Mkuu,ampe vidonge vya majira kwa sana,halafu ambandike na mimba hapo baadae,lazima yatavimba.
 
Back
Top Bottom