Saoka
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 405
- 565
Habari za leo ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nataka nikasomee udereva hasa lengo likiwa nikusafirisha abiria yaani kuanza na magari kama cruiser na Coaster (Manual) na kupata leseni yake
Je natakiwa kuwa na vigezo vipi au process gani nitazifuata kufikia lengo na ipi shule nzuri kwa Arusha?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nataka nikasomee udereva hasa lengo likiwa nikusafirisha abiria yaani kuanza na magari kama cruiser na Coaster (Manual) na kupata leseni yake
Je natakiwa kuwa na vigezo vipi au process gani nitazifuata kufikia lengo na ipi shule nzuri kwa Arusha?