_ID
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,409
- 7,399
Salaam wadau,
Moja kwa moja kwenye maada husika
Mimi ni kijana mwny umri wa mid 20’s. Nina mpango wa kwenda VETA ili kujifunza ujuzi niweze kujipatia kipato. Lengo langu nikasomee kimojawapo kati ya udereva au ufundi simu+computer. Udereva nilioulenga ni Basic driving + ADVANCED DRIVERS GRADE II + HEAVY GOODS VEHICLE(HGV).
Mpaka saizi niko njiapanda je nisomee kozi gan kati ya udereva au ufundi simu+computer. Kozi zote hzi mbili nazipenda, nazimudu na nina vigezo vyote vinavyohitajika kuzisomea.
Naombeni kujua ni kozi gani ina hela Zaidi mana lengo langu ni kusomea kozi yenye hela haijalishi ya kujiajiri au kuajiriwa. Kitu kingne, nmeona kozi ya aina moja ukienda veta chang’ombe unaisoma kwa mda mrefu zaid kuliko veta kipawa wakati kozi ni ile ile , je hii ni sababu ya nini? Kwa anaejua naomba anijulishe sababu Mfano,
1. Ni kozi ipi yenye hela kati ya hzo mbili?
2. Ni kwa nn veta chang’ombe inatoa kozi kwa mda mrefu kuliko kipawa wakati kozi ni ile ile?
Wasalaam!!
Moja kwa moja kwenye maada husika
Mimi ni kijana mwny umri wa mid 20’s. Nina mpango wa kwenda VETA ili kujifunza ujuzi niweze kujipatia kipato. Lengo langu nikasomee kimojawapo kati ya udereva au ufundi simu+computer. Udereva nilioulenga ni Basic driving + ADVANCED DRIVERS GRADE II + HEAVY GOODS VEHICLE(HGV).
Mpaka saizi niko njiapanda je nisomee kozi gan kati ya udereva au ufundi simu+computer. Kozi zote hzi mbili nazipenda, nazimudu na nina vigezo vyote vinavyohitajika kuzisomea.
Naombeni kujua ni kozi gani ina hela Zaidi mana lengo langu ni kusomea kozi yenye hela haijalishi ya kujiajiri au kuajiriwa. Kitu kingne, nmeona kozi ya aina moja ukienda veta chang’ombe unaisoma kwa mda mrefu zaid kuliko veta kipawa wakati kozi ni ile ile , je hii ni sababu ya nini? Kwa anaejua naomba anijulishe sababu Mfano,
- Kozi ya COMPUTER REPAIR & MAINTAINANCE ukienda veta chan’gombe (ada 280,000) unaisoma kwa miezi mitatu, wakati veta kipawa (ada 145,000) unaisoma kwa mwezi mmoja
- Kozi ya ELECTRONICS ukienda veta chan’gombe (ada 280,000)unaisoma kwa miezi mitatu, wakati veta kipawa (ada 295,000) unaisoma kwa miez miwili
1. Ni kozi ipi yenye hela kati ya hzo mbili?
2. Ni kwa nn veta chang’ombe inatoa kozi kwa mda mrefu kuliko kipawa wakati kozi ni ile ile?
Wasalaam!!