Nataka nifanye kazi ya kusajili laini

Mimi nina degree kama wewe na kazi nilizofanya (ya mwisho nimepigwa chini) zote shit.
Fanya kazi mzee


Halafu nimekumbuka, nina washkaji zangu wawili tumemaliza wote degree wapo TTCL wanasajili line.
 
Back
Top Bottom