Sasa ndio unacheka!?hahahahahahaha kumbe wahanga tupo wengi,kweli ukiwa na tatizo usijione uko pke yako
Nyoka??? What for??ndiyo maana watu wana fuga nyoka sikihizi
kilimo cha nyoka haukijui?Nyoka??? What for??
Mmh. Sijui mkuu. Mgeni maeneo hayo.kilimo cha nyoka haukijui?
Piga kazi kwa maisha yako sio ya mtu mwingine
Kuna tetesi sumu ya nyoka ni dawa ya shinikizo la moyo watu tumeona fursa sasa hivi tunafuga koboko nyumbani.Nyoka??? What for??