Nini nifanye ili nisome chuo bila ya ku-resit mtihani?

Nov 11, 2019
58
69
Habar za leo ndugu zangu.

Mwaka 2017 nilihitimu kidato cha nne na matokeo yangu hayakuwa mazuri kiasi cha kuridhisha. Mara baada ya kupata matokeo ya alama ya D tatu, nilikata tamaa na kushindwa kufanya namna ya kujiendeleza.

Katika moja ya kuongea na watu nikaelekezwa chuo ambacho nilisoma kwa muda wa miaka 2, lakiji kumbe kilikuwa hakijasajili.

Now nataka nisome chuo lakin bado nina D tatu zile. Nini nifanye ili nisome chuo bila ya ku-resit mtihan??

Naomba msaada tafadhali
 
Kwann hutaki ku risiti mdogo wangu. Hakuna short cut kwenye elimu utaishia kusoma vyuo feki tu

Rekebisha uandishi wako kwenye bandiko lako. Chui, chup, lakiji etc
 
Pata d 4 kwanza ndo uje hapa by the way utakua unapigwa pesa zako na vyuo uchwara na kupotezewa mda wako utaichukia elimu Bure kumbe kwa sababu ya kutaka kitonga itakucost rudia mtihani utafite D zikiwa 4
 
Nenda chuo Cha kushona nguo au Cha kuchomelea vyuma.



Bila d4 wewe ni sawa na felia tu
 
Inawezekana kusoma chuo kwa ufaulu huo ila kwanjia hii:-
Nenda ukasome VETA ndani ya miaka 3 kisha utapata sifa ya kujiunga na chuo cha kati ngazi ya Diploma kwa kuambatanisha cheti chako cha form 4 chenye D3 na cha Veta ambacho ni VC3.
NB:
Hakikisha unachagua kozi ambayo itakuwa ina muendelezo hadi kufikia chuo kikuu, maana kuna kozi huwa zinaishia huko huko veta tu.
 
Asante kwa Bandiko Mkuu.

WAJUZI WA KU-RESIT WANAKUJA KUKUPA MIONGOZO

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Habar za leo ndugu zangu.

Mwaka 2017 nilihitimu kidato cha nne na matokeo yangu hayakuwa mazuri kiasi cha kuridhisha. Mara baada ya kupata matokeo ya alama ya D tatu, nilikata tamaa na kushindwa kufanya namna ya kujiendeleza.

Katika moja ya kuongea na watu nikaelekezwa chuo ambacho nilisoma kwa muda wa miaka 2, lakiji kumbe kilikuwa hakijasajili.

Now nataka nisome chuo lakin bado nina D tatu zile. Nini nifanye ili nisome chuo bila ya ku-resit mtihan??

Naomba msaada tafadhali
Ushauri wangu..
Ndugu Ukitaka Shortcut Utakuja kulia Mbeleni..

Katika Vetting nyingi sana wanachukua Matoeo ya Form four unaweza ukapiga mpaka PhD na ukarudi ukaanza kulia tena hujapata Kazi ufanyaje..

Cha kukushauri Haiumizi Re-sit Tena utafute matokeo mazuri ambayo hayatakuwa na Utata mbeleni..

Wanaokushauri Uende VETA utaenda ila baadae utafika sehemu nafasi utakuwa huna ya kufanya hivyo ulivyotaka kufanya sasa..

Kwa mfano Kuna Nurse mmoja alisomaga zaman enzi zile manurse wanasoma bila Form four Qualification..

Sasa akatamani angalau kimshahara kiongozeke kutokana na majukumu kuwa mengi Bahati mbaya Mshahara wake umefika FIXED ..

Na njia Pekee ya kuongeza Mshahara ni Kusoma Na akisoma haichukui miaka mingi atafika kwa pesa anayotarajia..
Shida hana Qualification za kusoma hivyo anaugulia maumivu..
Plse nakuomba ukae chini Nenda karesit..
 
Ushauri wangu..
Ndugu Ukitaka Shortcut Utakuja kulia Mbeleni..

Katika Vetting nyingi sana wanachukua Matoeo ya Form four unaweza ukapiga mpaka PhD na ukarudi ukaanza kulia tena hujapata Kazi ufanyaje..

Cha kukushauri Haiumizi Re-sit Tena utafute matokeo mazuri ambayo hayatakuwa na Utata mbeleni..

Wanaokushauri Uende VETA utaenda ila baadae utafika sehemu nafasi utakuwa huna ya kufanya hivyo ulivyotaka kufanya sasa..

Kwa mfano Kuna Nurse mmoja alisomaga zaman enzi zile manurse wanasoma bila Form four Qualification..

Sasa akatamani angalau kimshahara kiongozeke kutokana na majukumu kuwa mengi Bahati mbaya Mshahara wake umefika FIXED ..

Na njia Pekee ya kuongeza Mshahara ni Kusoma Na akisoma haichukui miaka mingi atafika kwa pesa anayotarajia..
Shida hana Qualification za kusoma hivyo anaugulia maumivu..
Plse nakuomba ukae chini Nenda karesit..
Hivi mtu akirisiti na akapata alama ya kujiunga na chuo baada ya kumaliza chuo akitafuta kazi kwenye kuandika cv yake ataandika shule alisoma ya no ya mtihani ya kwanza? au zote mbili?
 
Hivi mtu akirisiti na akapata alama ya kujiunga na chuo baada ya kumaliza chuo akitafuta kazi kwenye kuandika cv yake ataandika shule alisoma ya no ya mtihani ya kwanza? au zote mbili?
Ipi alofaulu nayo mkuu ?
Na nafikiri Kwenye CV sijawahi kuona Kuna Sehemu ya kuandika namba ya Mtihani..

Na hata hivyo kwenye kuomba kzi siku hizi..
Naona wanaandika first sit and second sit kote unaweza ukajaza hizo namba
 
Ipi alofaulu nayo mkuu ?
Na nafikiri Kwenye CV sijawahi kuona Kuna Sehemu ya kuandika namba ya Mtihani..

Na hata hivyo kwenye kuomba kzi siku hizi..
Naona wanaandika first sit and second sit kote unaweza ukajaza hizo namba
Nazungumzia kuandika shule kwenye cv je unaweza kuweka za zote mbili ulizofanyia mtihani wa form iv au ni ile tu ya kwanza pekee
 
Back
Top Bottom