Nataka nianze kula mjani

Hujabakisha kitu Mkuu.👍👍👍
 
Kumbe ndio maana watu wanasema hayo manyimbo ni ya kipepo,now I see why.
 
Nyeto umeachaje?
1.Amini kuwa punyeto ni kinyume na mapenzi ya Mungu, Mungu anataka hizo shahawa zifanye kazi ya uumbaji (kutungisha mimba), usimwage nje na wala kwenye kondomu. Hivyo kama punyeto ni kinyume na mapenzi ya ,Mungu basi Punyeto ni Dhambi, Je Unafurahi au unapenda kutenda Dhambi??

2.Kama jibu ni Ndio, OMBA MUNGU akujaalie umjue na umtii yeye.

3.Kama jibu ni HAPANA, Fanya yafuatayo na NAKUHAKIKISHIA Utaacha Punyeto.

•Anza kwa kufuta picha za ngono zote, na kujitoa kwenye Makundi/Kurasa/Web zote zenye maudhui ya Ngono.

••JUTA, Kisha Muombe MUNGU MWENYEZI TOBA KWA KOSA LA KUJICHUA, OMBA MUNGU AKUFUTIE ADHABU NA MADHARA YOTE AMBAYO UMEYAPATA KIMWILI NA KIROHO KWA UPIGAJI PUNYETO.

•••Weka Ahadi kwa Mungu kuwa hutorudia kupia punyeto, na Muombe YEYE Akuongoze USIPATE Tamaa, na Wala usirudie.. kila Asubuhi ukiamka, na jioni ukikaa kitandani sema hivi, Ee Mungu, Zuia tamaa za moyo wangu nijalie nisijichue tena, geuza tamaa zangu.. Amina.

••••Kua muaminifu kwa ahadi yako kwa Mungu, Mungu anapenda WAAMINIFU.

Ubarikiwe
 
KUJIAMINI HALISI KWAPATIKANA KWA NJIA YA KUMJUA NA KUMTUMAINI MUNGU, Na sio kumoka.

Mtafute Mungu, Utajiamini kupita Maelezo.
 
Ijue tofauti kati ya kuvuta bangi na kuwa mvuta bangi ni sawa na utofauti kati ya kunywa pombe na kuwa mlevi ..
Hakika watu wengi wanavuta bangi lakin sio wavuta bangi au kuna mtu anapinga?
Iko hivi ukipita maeneo ukahisi harufu ya bangi tayari umevuta
 
Bangi ni nzuri sana

Ila sio nzuri kwa kila mtu, na hii inatokana na kichwa cha (mtumiaji)mtu wepesi wake.

Haifai kutumia bangi kama unakichwa chepesi/wenge.
Wanaotumia mjani alaf vyichwa vyao vyepesi ndio wanaofanya mjani uwonekane haramu.


Binafsi :- Nikijihis barid au misuli kukaza nikipata walau msumari mmoja mwili unakaa sawa

Kweny kazi ngum mfano kupakia na kushusha mbolea,ikitokea nikapata uyonge wa kazi kua ngum sana basi nikipata misumari yang kadhaa dah moyo unakua na mzuka sana wa kazi

Ganzi:-sihis maumiv kama lamda itakokea mwili kuniuma au kuchoka

Pongezi kwa masadali

Shettani
imasco
ibra cadabra
babu kocha
msizigga
 
Misumari mitatu to end the day i feel so high... playlist now inasoma peter gabriel--- Here comes the flood. Bonge la pini
 
They will never understand the vibes
 
We jamaa fala sana... embu fanya research vizuri za watumia bangi... we ushazoea wavuta bangi wa vijiweni wasio na kzlazi maalum.... go deeper
 
We jamaa fala sana... embu fanya research vizuri za watumia bangi... we ushazoea wavuta bangi wa vijiweni wasio na kzlazi maalum.... go deeper
Yaani ni 'go deeper' kuchunguza wavuta bhangi mie!

Nishachunguza ikatosha, upo huru na maisha yako,kuvuta utakavyo baba, zingine tafuna kabisa mkuu na usiwe na wasi wasi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ni 'go deeper' kuchunguza wavuta bhangi mie!

Nishachunguza ikatosha, upo huru na maisha yako,kuvuta utakavyo baba, zingine tafuna kabisa mkuu na usiwe na wasi wasi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakunywa kabisa mjomba... izo imani zenu bana... af pysychologist ndo mnaongoza kuwa fucked up sometime
 
hahaha nimekujua kwenu karibu na dv8
 
We jamaa fala sana... embu fanya research vizuri za watumia bangi... we ushazoea wavuta bangi wa vijiweni wasio na kzlazi maalum.... go deeper
Kweli jamaa anahitaji kufanya research zaidi, asiishie tu kwa wale wakaa vijiweni wakilipuliza, kuna watu wana maisha yao na wanakula mjani kama starehe tu na huwezi kuwajua ..
 
Yaani ni 'go deeper' kuchunguza wavuta bhangi mie!

Nishachunguza ikatosha, upo huru na maisha yako,kuvuta utakavyo baba, zingine tafuna kabisa mkuu na usiwe na wasi wasi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kila mvuta bangi anakaa kijiweni au jobless wapo watu wengi tu wenye maisha yao na wanakula mjani for leisure mkuu ..
 
Kweli jamaa anahitaji kufanya research zaidi, asiishie tu kwa wale wakaa vijiweni wakilipuliza, kuna watu wana maisha yao na wanakula mjani kama starehe tu na huwezi kuwajua ..
Kakremisha mavitabu yake huko anakuja kujifanya mtaalamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…