Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,361
- 3,177
Mkuu iyo 10 pambana pambana ifike hata 50k alafu uje hapa kitambaa cheupe..
Hmmm 🤔 au basi!Huwa natoa michongo ya kazi , ukiifuata lazima upige pesa
Ila watu!🙄Mkuu iyo 10 pambana pambana ifike hata 50k alafu uje hapa kitambaa cheupe..
Hakuna odds 3 za uhakika ni kubahatisha tuWakuu Habari za Uzima,
Baada ya kutafuta kazi na kukosa, na Zingine nikipata wananikataa Wakishajua nina Usikivu Hafifu "Hearing Loss " Basi Nimeamua Kuingia kwenye BETTING, Kuna Hela nimepata hapa Elfu10 ndo nataka nianze Nayo, Niwe Natafuta Odds 3 za Uhakika Hata mara 3 kwa wiki sio Mbaya... Naombeni Mawazo Yenu Ndugu Zangu.
Atapigika abaki vuzi tu 🤣Pole sana ..... utapunwa mpaka ubaki fuvu
Atapigika abaki vuzi tu 🤣
Kaka umejisajiri na ajira portl, unasambaza cv zako kwenye mashule?kwa Primary Level ni Masomo Yote, ila kwa Secondary Masomo Ya Arts ila English na History nipo Vizuri Sanaa 😊.
Nasubiri Nikachukue Cheti chuo.Mwalimu wa masomo gani?
Kaka umejisajiri na ajira portl, unasambaza cv zako kwenye mashule?
Nami Nilikuwa Nafikiria Hivyo, ila Location ya kufungua tuition ndo bado Natafuta. ila kuna Tuition ipo pale Buguruni nimeomba Ndo nasubiri Waniite kazi ikipatikana.Vp ukafungua tuition kwaasomo ya jioni ukala 300 mpk 500 kwa kila kichwa kwa siku?